< Yakobo 4 >

1 Mapigano na magombano yote kati yenu yanatoka wapi? Hutoka katika tamaa zenu mbaya ambazo hupigana daima ndani yenu.
Nangmih khuikah caemthoh te me lamkah lae, rhalthohnah me lamkah lae? He lamkah moenih a? Nangmih omthenbawnnah lamkah ni namamih kah pumrho dongah na vathoh uh.
2 Mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu.
Na hue uh dae na dang uh moenih, na ngawn uh dae na thatlai uh. Hmuh hamla na coeng uh pawt dongah na hnuei uh thae tih na tloek uh thae. Na bih uh pawt dongah na khueh uh pawh.
3 Tena, mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu.
Na bih uh dae namamih kah omthenbawnnah neh hnonah ham voek na bih dongah na dang uh pawh.
4 Ninyi ni watu msio na uaminifu kama wazinzi. Je, hamjui kwamba kuwa rafiki wa ulimwengu ni kuwa adui wa Mungu? Yeyote anayetaka kuwa rafiki wa ulimwengu anajifanya adui wa Mungu.
Samphaih rhoek aw, Diklai sanaep tah Pathen kah thunkha ni tila na ming uh moenih a? Diklai kah paya la om ham a ngaih long tah Pathen kah rhal ni a saii coeng.
5 Msifikiri kwamba Maandiko Matakatifu yamesema maneno ya bure, yanaposema: “Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu ana wivu mkubwa.”
Cacim loh, “Mueihla te mamih ah khosak sak ham uetnah neh a rhingda,” a ti te vapsa la na poek uh.
6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.”
Tedae lungvatnah muep a paek dongah, “Pathen loh buhueng aka pom uh te a pakai tih tlayae te lungvatnah a paek,” a ti.
7 Basi, jiwekeni chini ya Mungu; mpingeni Ibilisi naye atawakimbieni.
Te dongah, Pathen taengla boe na ngai uh tih rhaithae te na tungkha uh daengah ni nangmih taeng lamloh a rhaelrham eh.
8 Mkaribieni Mungu, naye atakuja karibu nanyi. Osheni mikono yenu enyi wakosefu! Safisheni mioyo yenu enyi wanafiki!
Pathen taengla yoei uh lamtah nangmih taengla ha yoei bitni. Tholh kut te cilpoe uh lamtah thinko Cikcok te ciim uh laeh.
9 Oneni huzuni, lieni na kuomboleza; kicheko chenu na kiwe kilio; na furaha yenu iwe huzuni kubwa.
Cip uh lamtah, nguek uh lamtah rhap uh laeh. Na nueih te ngueknah la, omngaihnah te kothaenah la poeh saeh.
10 Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.
Boeipa hmaiah na tlarhoel uh daengah ni nangmih te m'pomsang eh.
11 Ndugu, msilaumiane ninyi kwa ninyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu Sheria. Kama ukiihukumu Sheria, basi, wewe huitii Sheria, bali waihukumu.
Khat neh khat yan uh thae boeh. Manuca rhoek, a manuca aka yan, manuca te lai aka thui tah olkhueng ni a yan tih olkhueng ni lai a tloek thil. Olkhueng te lai na tloek thil uh coeng dae laitloekkung loh olkhueng aka rhoihkung la na om uh moenih.
12 Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?
Olrhikung neh laitloekkung tah pakhat ni. Amah loh khang ham neh a paci sak ham coeng thai. Tedae imben lai aka tloek thil nangmih te u nim.
13 Basi, sasa sikilizeni ninyi mnaosema: “Leo au kesho tutakwenda katika mji fulani na kukaa huko mwaka mzima tukifanya biashara na kupata faida.”
“Tihnin neh thangvuen ah hekah kho la n'cet vetih kum khat a thok hil hno n'yoih ni, n'dang ni,” aka ti rhoek te maerhae coeng.
14 Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.
Nangmih loh thangvuen kah na hingnah te metla a om khaw na hmat uh moenih. Tuihu loh kolkalh ah phoe tih a cing banglam ni na om uh.
15 Mngalipaswa kusema: “Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.”
“Boeipa loh a ngaih tih ng'hing uh atah he khaw, ke khaw n'saii uh van bitni,” na ti uh mako.
16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.
Namamih kah oekhlawnnah neh na pomsang uh coeng dae tebang hoemdamnah boeih tah a thae lamni a om.
17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.
Te dongah a then saii ham a ming tih a saii pawt dongah anih ham tholhnah la a om pah.

< Yakobo 4 >