< 2 Timotheo 3 >

1 Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
Tedae he he ming lah. Khohnin hnukkhueng ah te tah a rhai tue pai ni.
2 watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
Hlang he pahuul, naivoei, hlangoek, buhueng aka pom, aka soehsal, manu napa taengah aka lokhak, aka noihhai, aka tanghnong,
3 watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
kotalh, thunkha thunhling, rhaithae, aka khoeihveet, mangkhak, aka muen,
4 watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
hlangyoi, marhu marhat, aka koevoei, Pathen lungnah lakah hawlthak aka coeng bet,
5 Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
Hingcimnah lungsak a khueh dae te hingcimnah kah thaomnah aka hnawt la om uh ni. Te vaengah hekah rhoek he nong tak.
6 Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
Amih lakli kah aka om rhoek te im la yuel uh tih hoehhamnah cungkuem loh a payawk uh dongah tholh neh a vueinan huta thae te a sol uh.
7 wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
A cang uh vawptawp dae oltak kah mingnah te pha thai uh pawh.
8 Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
Te dongah Jenne neh Jambres loh Moses a kamkaih rhoi bangla he rhoek long kaw oltak te a kamkaih uh van. A lungbuei poci tih tangnah dongah aka lolhmaih hlang rhoek ni.
9 Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
Tedae taoe koep cungphoek mahpawh. Te rhoi kah a om van bangla amih kah a anglat khaw a cungkuem taengah phaeng phoe bitni.
10 Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
Tedae nang tah kai kah thuituennah, khosak rhamsak, mangtaengnah, tangnah, thinsennah, lungnah, uehnah, patangnah, hnaemtaeknah te na thuep.
11 udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
Te te kai hamla Antiok ah, Ikonium ah, Lustra ah thoeng. Hnaemtaeknah te ka ueh vaengah ka cungkuem ah Boeipa loh n'hlawt.
12 Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
Te dongah Khrih Jesuh ah hingcim la hing aka ngaih boeih te tah a hnaemtaek uh ni.
13 Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
Tedae bothae hlang neh laithae rhoek tah hlang a rhaithi uh doeah amamih rhaithi la om tih a thae la cungpoeh uh ni.
14 Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
Nang tah na cang tih na ngaitang dongah te naeh lah. U taengkah na cang khaw ming lah.
15 Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
A cim cabu he cahni lamloh na ming coeng te ta. Te long te Khrih Jesuh ah tangnah rhangneh khangnah dongla nang n'cuek sak thai.
16 Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
Cacim boeih he Pathen kah hil la om tih thuituennah ham, toelthamnah ham, tlaihvongnah ham, duengnah dongah hlinsainah ham hoeikhang.
17 ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.
Te nen ni Pathen kah hlang loh hlangsoep la a om vetih bibi then te boeih a cuum sak eh.

< 2 Timotheo 3 >