< 1 Timotheo 3 >

1 Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
Wierna jest ta mowa: Jeźli kto biskupstwa żąda, dobrej pracy żąda.
2 Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
Ale biskup ma być nienaganiony, mąż jednej żony, czuły, trzeźwy, poważny, gościnny, ku nauczaniu sposobny;
3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
Nie pijanica wina, nie bitny, nie sprośnego zysku chciwy, ale słuszność miłujący, nieswarliwy, niełakomy;
4 anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Który by dom swój dobrze rządził, który by dziatki miał w posłuszeństwie ze wszelaką uczciwością;
5 Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
(Bo jeźliby kto nie umiał swego własnego domu rządzić, jakoż pieczę będzie miał o kościele Bożym?)
6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
Nie nowotny, aby będąc nadęty, nie wpadł w sąd potwarcy.
7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
Musi też mieć świadectwo dobre od obcych, aby nie wpadł w hańbę i w sidło potwarcy.
8 Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
Dyjakonowie także mają być poważni, nie dwoistego słowa, nie pijanicy wielu wina, nie chciwi sprośnego zysku,
9 wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
Mający tajemnicę wiary w czystem sumieniu.
10 Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
A ci też niech będą pierwej doświadczeni, zatem niech służą, jeźli są bez nagany;
11 Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
Żony także niech mają poważne, nie potwarliwe, trzeźwe, wierne we wszystkiem.
12 Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
Dyjakonowie niech będą mężami jednej żony, którzy by dziatki dobrze rządzili i własne domy.
13 Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
Albowiem którzy by dobrze służyli, stopień sobie dobry zjednają i wielkie bezpieczeństwo w wierze, która jest w Chrystusie Jezusie.
14 Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
Toć tobie piszę, mając nadzieję, że w rychle przyjdę do ciebie;
15 Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
A jeźlibym omieszkał, abyś wiedział, jako się masz w domu Bożym sprawować, który jest kościołem Boga żywego, filarem i utwierdzeniem prawdy.
16 Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.
A zaprawdę wielka jest tajemnica pobożności, że Bóg objawiony jest w ciele, usprawiedliwiony jest w duchu, widziany jest od Aniołów, kazany jest poganom, uwierzono mu na świecie, wzięty jest w górę do chwały.

< 1 Timotheo 3 >