< 1 Wathesalonike 3 >

1 Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
Ndava ya genago tangahotola kusindimala neju. Ndi taamwili kusigalila ku Atene tavete,
2 na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
na kumtuma kwinu mlongo witu Timoti, ndi muhenga lihengu muyitu ndava ya Chapanga mukukokosa Lilovi la Bwina la Kilisitu. Tamtumili ndava ya kuvakangamalisa na kuvasangalusa,
3 kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
muni taganili mundu yoyoha akotoka kuwuya mumbele ndava ya sadika pagati yinu yikoto kuyaga ndava ya mang'ahiso ago. Nyenye mmanyili maganu ga Chapanga ting'ahiswai.
4 Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
Muni patavili pamonga na nyenye tavajovili yati ting'ahiswa, ndi ngati chammanyili, ndi chagahumalili.
5 Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
Ndava yeniyo namtumili Timoti kwinu. Nasindilimalili lepi neju, ndi namtumili muni nimanyai mambu ga sadika yinu. Yikoto kuvya pangi Setani avalingili na lihengu loha leatakitili pagati yitu liyagili waka!
6 Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
Hinu Timoti amali kuwuya, na atipelili malovi ga kusangalusa kuvala sadika na uganu winu. Atijovili kuvya mukutiholalela neju, na kuvya mna mnogo wa kutilola tete ngati na tete chatinogela kuvalola nyenye.
7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
Hinu, valongo vitu mambu getiyuwini kuvala sadika yinu, yikangamalisa mitima mukung'ahika na mang'ahiso gitu goha,
8 kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
Ndava muni hinu titama kwa uchakaka yikavya nyenye muyima chakukangamala mukuwungana na BAMBU.
9 Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
Hinu tihotola kumsengusa Chapanga witu ndava yinu. Tikumsengusa kwa luheku lwetuvili nawu palongolo yaki ndava yinu.
10 Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
Tiyendelela kumuyupa Chapanga kilu na muhi kwa mtima witu woha muni atipela fwasi ya kuvalola mihu kwa mihu muni tihotola kuvatangatila mumsadika Chapanga kwa makakala neju.
11 Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
Tikumuyupa Chapanga, Dadi witu mwene, na BAMBU witu Yesu, atidindulila njila ya kubwela kwinu.
12 Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
BAMBU avahotosa kuganana na mmemeswa uganu wa kuvagana vandu vangi voha, ngati tete chatikuvagana nyenye.
13 Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.
Ndi yati yikangamalisa mitima yinu, na nyenye yati mwivya mwangabuda kangi mwivya vamsopi vandu va Chapanga, pemwiyima palongolo ya Chapanga mweavili Dadi witu lukumbi BAMBU witu Yesu peibwela na voha vevavili vaki.

< 1 Wathesalonike 3 >