< 1 Wakorintho 10 >

1 Ndugu, nataka mjue kwamba babu zetu wote walikuwa chini ya ulinzi wa lile wingu, na kwamba wote walivuka salama ile bahari.
Porque es mi deseo, hermanos míos, que guarden en mente cómo todos nuestros padres estaban debajo de la nube, y todos atravesaron el mar;
2 Wote walibatizwa katika umoja na Mose kwa lile wingu na ile bahari.
Y todos ellos tuvieron el bautismo de Moisés en la nube y en el mar;
3 Wote walikula chakula kilekile cha kiroho,
Y todos tomaron la misma comida santa;
4 wakanywa pia kinywaji kilekile cha kiroho, maana walikunywa kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe.
Y la misma bebida santa; porque todos tomaron de las aguas de la roca santa que los seguía; y la roca era Cristo.
5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Pero con la mayoría de ellos, Dios no se agradó, porque llegaron a su fin en el desierto.
6 Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani.
Ahora bien, estas cosas nos sirvieron de ejemplo, para que nuestros corazones no vayan tras las maldades, como lo hicieron.
7 Msiwe waabudu sanamu kama baadhi yao walivyokuwa; kama yasemavyo Maandiko: “Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama kucheza.”
Entonces no vayan tras dioses falsos, como algunos de ellos lo hicieron; como se dice en las Sagradas Escrituras, después de descansar y comer, la gente se levantó a divertirse.
8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu elfu.
No forniquemos, como algunos de ellos hicieron, de los cuales veintitrés mil terminaron en un día.
9 Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.
Y no sometamos al Señor a prueba, como algunos de ellos lo hicieron, y vinieron a la muerte por medio de serpientes.
10 Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!
Y no murmuren en contra del Señor, como algunos de ellos hicieron, y perecieron por él destructor.
11 Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili. (aiōn g165)
Ahora estas cosas fueron hechas como un ejemplo; y fueron escritos para nuestra amonestación, sobre quienes han llegado los últimos días. (aiōn g165)
12 Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.
Entonces, que el que parece estar firme, mire que no caíga.
13 Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
Ustedes no han pasado por ninguna prueba, que no sea humanamente soportable. sino como lo que es común al hombre: y Dios es fiel, que no dejará que te caiga ninguna prueba a la que no puedas someterte; sino que dará juntamente con la tentación la salida, para que puedan soportar.
14 Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.
Por esta causa, mis queridos hermanos, no den culto a dioses falsos.
15 Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.
Lo que estoy hablando como a hombres sabios, juzguen ustedes mismos,
16 Tunapomshukuru Mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo?
La copa de bendición que bendecimos, ¿no nos da parte en la sangre de Cristo? y ¿no es el pan quebrado una parte del cuerpo de Cristo?
17 Kwa kuwa mkate huo ni mmoja, sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki mkate huohuo.
Porque, siendo muchas personas, somos un solo pan, somos un solo cuerpo, porque todos participamos en un solo pan.
18 Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
Vean a Israel según la carne: ¿no toman parte en el altar los que toman como alimento las ofrendas del altar?
19 Nataka kusema nini, basi? Kwamba chakula kilichotambikiwa sanamu ni kitu zaidi ya chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu?
¿Digo, entonces, que lo que se ofrece a las imágenes es algo, o que la imagen es algo?
20 Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba tambiko wanazotoa watu wasiomjua Mungu wanawatolea pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo.
Lo que digo es que las cosas ofrecidas por los gentiles se ofrecen a los demonios y no a Dios; y no es mi deseo que se hagan partícipes con los demonios.
21 Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya pepo.
No es posible, al mismo tiempo, tomar la copa del Señor y la copa de los demonios; no pueden participar en la mesa del Señor y en la mesa de los demonios.
22 Au je, tunataka kumfanya Bwana awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
¿O podemos ser causa de envidia para el Señor? ¿Somos más fuertes que él?
23 Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.
Somos libres de hacer todas las cosas, pero no todo conviene. Somos libres de hacer todas las cosas, pero no todo edifica.
24 Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.
No Dejen que un hombre preste atención solo a lo que es bueno para sí mismo, sino también al bien de su prójimo.
25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;
De Todo lo que se vende en la carnicería, come, tómenla como alimento sin cuestionar si está bien o mal;
26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
porque la tierra es del Señor y su plenitud.
27 Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu.
Si un gentil hace un banquete para ti, y te agrada ir como invitado, toma todo lo que se te presenta, sin cuestionar si está bien o mal.
28 Lakini mtu akiwaambieni: “Chakula hiki kimetambikiwa sanamu,” basi, kwa ajili ya huyo aliyewaambieni hivyo na kwa ajili ya dhamiri, msile.
Pero si alguien te dice: Este alimento ha sido usado como ofrenda, no lo tomes, a causa de él que lo dijo, y por motivos de conciencia; porque del Señor es la tierra y su plenitud.
29 Nasema, “kwa ajili ya dhamiri,” si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni. Mtaniuliza: “Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine?
La conciencia, digo, no la tuya, sino la del otro hombre. Pues porque se ha de juzgar mi libertad por la conciencia de otro?
30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”
Pero si doy gracias a Dios por la comida que tomo, porque me han de criticar por comerlo?
31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Entonces, si se trata de comida o bebida, o cualquier otra cosa, hagas lo que hagas, hazlo todo para la gloria de Dios.
32 Msiwe kikwazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki au kwa kanisa la Mungu.
No Sean piedra de tropiezo a los judíos, ni a los gentiles, ni a la iglesia de Dios.
33 Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.
Así como yo procuro agradar a todos los hombres en todas las cosas, sin buscar ganancias para mí, sino para el bien de los demás, para que puedan obtener la salvación.

< 1 Wakorintho 10 >