< 1 Wakorintho 10 >

1 Ndugu, nataka mjue kwamba babu zetu wote walikuwa chini ya ulinzi wa lile wingu, na kwamba wote walivuka salama ile bahari.
he bhrAtaraH, asmatpitRpuruSAnadhi yUyaM yadajJAtA na tiSThateti mama vAJchA, te sarvve meghAdhaHsthitA babhUvuH sarvve samudramadhyena vavrajuH,
2 Wote walibatizwa katika umoja na Mose kwa lile wingu na ile bahari.
sarvve mUsAmuddizya meghasamudrayo rmajjitA babhUvuH
3 Wote walikula chakula kilekile cha kiroho,
sarvva ekam AtmikaM bhakSyaM bubhujira ekam AtmikaM peyaM papuzca
4 wakanywa pia kinywaji kilekile cha kiroho, maana walikunywa kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe.
yataste'nucarata AtmikAd acalAt labdhaM toyaM papuH so'calaH khrISTaeva|
5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
tathA satyapi teSAM madhye'dhikeSu lokeSvIzvaro na santutoSeti hetoste prantare nipAtitAH|
6 Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani.
etasmin te 'smAkaM nidarzanasvarUpA babhUvuH; ataste yathA kutsitAbhilASiNo babhUvurasmAbhistathA kutsitAbhilASibhi rna bhavitavyaM|
7 Msiwe waabudu sanamu kama baadhi yao walivyokuwa; kama yasemavyo Maandiko: “Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama kucheza.”
likhitamAste, lokA bhoktuM pAtuJcopavivizustataH krIDitumutthitA itayanena prakAreNa teSAM kaizcid yadvad devapUjA kRtA yuSmAbhistadvat na kriyatAM|
8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu elfu.
aparaM teSAM kaizcid yadvad vyabhicAraH kRtastena caikasmin dine trayoviMzatisahasrANi lokA nipAtitAstadvad asmAbhi rvyabhicAro na karttavyaH|
9 Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.
teSAM kecid yadvat khrISTaM parIkSitavantastasmAd bhujaGgai rnaSTAzca tadvad asmAbhiH khrISTo na parIkSitavyaH|
10 Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!
teSAM kecid yathA vAkkalahaM kRtavantastatkAraNAt hantrA vinAzitAzca yuSmAbhistadvad vAkkalaho na kriyatAM|
11 Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili. (aiōn g165)
tAn prati yAnyetAni jaghaTire tAnyasmAkaM nidarzanAni jagataH zeSayuge varttamAnAnAm asmAkaM zikSArthaM likhitAni ca babhUvuH| (aiōn g165)
12 Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.
ataeva yaH kazcid susthiraMmanyaH sa yanna patet tatra sAvadhAno bhavatu|
13 Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
mAnuSikaparIkSAtiriktA kApi parIkSA yuSmAn nAkrAmat, Izvarazca vizvAsyaH so'tizaktyAM parIkSAyAM patanAt yuSmAn rakSiSyati, parIkSA ca yad yuSmAbhiH soDhuM zakyate tadarthaM tayA saha nistArasya panthAnaM nirUpayiSyati|
14 Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.
he priyabhrAtaraH, devapUjAto dUram apasarata|
15 Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.
ahaM yuSmAn vijJAn matvA prabhASe mayA yat kathyate tad yuSmAbhi rvivicyatAM|
16 Tunapomshukuru Mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo?
yad dhanyavAdapAtram asmAbhi rdhanyaM gadyate tat kiM khrISTasya zoNitasya sahabhAgitvaM nahi? yazca pUpo'smAbhi rbhajyate sa kiM khrISTasya vapuSaH sahabhAgitvaM nahi?
17 Kwa kuwa mkate huo ni mmoja, sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki mkate huohuo.
vayaM bahavaH santo'pyekapUpasvarUpA ekavapuHsvarUpAzca bhavAmaH, yato vayaM sarvva ekapUpasya sahabhAginaH|
18 Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
yUyaM zArIrikam isrAyelIyavaMzaM nirIkSadhvaM| ye balInAM mAMsAni bhuJjate te kiM yajJavedyAH sahabhAgino na bhavanti?
19 Nataka kusema nini, basi? Kwamba chakula kilichotambikiwa sanamu ni kitu zaidi ya chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu?
ityanena mayA kiM kathyate? devatA vAstavikI devatAyai balidAnaM vA vAstavikaM kiM bhavet?
20 Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba tambiko wanazotoa watu wasiomjua Mungu wanawatolea pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo.
tannahi kintu bhinnajAtibhi rye balayo dIyante ta IzvarAya tannahi bhUtebhyaeva dIyante tasmAd yUyaM yad bhUtAnAM sahabhAgino bhavathetyahaM nAbhilaSAmi|
21 Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya pepo.
prabhoH kaMsena bhUtAnAmapi kaMsena pAnaM yuSmAbhirasAdhyaM; yUyaM prabho rbhojyasya bhUtAnAmapi bhojyasya sahabhAgino bhavituM na zaknutha|
22 Au je, tunataka kumfanya Bwana awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
vayaM kiM prabhuM sparddhiSyAmahe? vayaM kiM tasmAd balavantaH?
23 Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.
mAM prati sarvvaM karmmApratiSiddhaM kintu na sarvvaM hitajanakaM sarvvam apratiSiddhaM kintu na sarvvaM niSThAjanakaM|
24 Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.
AtmahitaH kenApi na ceSTitavyaH kintu sarvvaiH parahitazceSTitavyaH|
25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;
ApaNe yat krayyaM tad yuSmAbhiH saMvedasyArthaM kimapi na pRSTvA bhujyatAM
26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
yataH pRthivI tanmadhyasthaJca sarvvaM paramezvarasya|
27 Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu.
aparam avizvAsilokAnAM kenacit nimantritA yUyaM yadi tatra jigamiSatha tarhi tena yad yad upasthApyate tad yuSmAbhiH saMvedasyArthaM kimapi na pRSTvA bhujyatAM|
28 Lakini mtu akiwaambieni: “Chakula hiki kimetambikiwa sanamu,” basi, kwa ajili ya huyo aliyewaambieni hivyo na kwa ajili ya dhamiri, msile.
kintu tatra yadi kazcid yuSmAn vadet bhakSyametad devatAyAH prasAda iti tarhi tasya jJApayituranurodhAt saMvedasyArthaJca tad yuSmAbhi rna bhoktavyaM| pRthivI tanmadhyasthaJca sarvvaM paramezvarasya,
29 Nasema, “kwa ajili ya dhamiri,” si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni. Mtaniuliza: “Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine?
satyametat, kintu mayA yaH saMvedo nirddizyate sa tava nahi parasyaiva|
30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”
anugrahapAtreNa mayA dhanyavAdaM kRtvA yad bhujyate tatkAraNAd ahaM kuto nindiSye?
31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
tasmAd bhojanaM pAnam anyadvA karmma kurvvadbhi ryuSmAbhiH sarvvamevezvarasya mahimnaH prakAzArthaM kriyatAM|
32 Msiwe kikwazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki au kwa kanisa la Mungu.
yihUdIyAnAM bhinnajAtIyAnAm Izvarasya samAjasya vA vighnajanakai ryuSmAbhi rna bhavitavyaM|
33 Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.
ahamapyAtmahitam aceSTamAno bahUnAM paritrANArthaM teSAM hitaM ceSTamAnaH sarvvaviSaye sarvveSAM tuSTikaro bhavAmItyanenAhaM yadvat khrISTasyAnugAmI tadvad yUyaM mamAnugAmino bhavata|

< 1 Wakorintho 10 >