< Sefania 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana Hezekia, katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda. “
Słowo Pańskie, które się stało do Sofonijasza, syna Chusego, syna Godolijaszowego, syna Amaryjaszowego, syna Ezechyjaszowego, za dni Jozyjasza, syna Amonowego, króla Judzkiego.
2 Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Wszystko zapewne zniosę z oblicza tej ziemi, mówi Pan.
3 Nitamwangamiza mtu na mnyama; Nitawaangamiza ndege wa mbinguni na samaki wa baharini, uharibifu pamoja na waovu. Hivyo nitamfutilia mbali mtu kutoka uso wa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Zniosę ludzi i bydło, zniosę ptastwo niebieskie i ryby morskie, i zgorszenie z niepobożnymi; wykorzenię człowieka z oblicza tej ziemi, mówi Pan.
4 Nitafika kwa mkono wangu juu ya Yuda na wote wenyeji wa Yerusalemu. Nitafutilia mbali kila mabaki ya Baali kutoka sehemu hii na majina ya watu waabuduo sanamu miongoni mwa makuhani,
Bo wyciągnę rękę moję na Judę, i na wszystkich obywateli Jeruzalemskich; wykorzenię z miejsca tego ostatki Baalowe, i popy jego z kapłanami;
5 watu ambao juu ya nyumba huabudu miili ya mbinguni, na watu ambao huabudu na kuapa kwa Yahwe bali ambao pia huapa kwa mfalme wao.
I tych, którzy się kłaniają na dachach wojsku niebieskiemu, i tych, którzy kłaniając się przysięgają przez Pana, także i tych, którzy przysięgają przez Molocha swego;
6 Nitawafutilia mbali pia wale ambao wamegeuka nyuma kutoka kumfuata Yahwe, wale ambao pia humtafuta Yahwe pasipo kuuliza ulinzi wake.
I tych, którzy się odwracają od naśladowania Pana, i którzy nie szukają Pana, ani się pytają o nim.
7 Uwe kimya mbele ya Bwana Yahwe! Kwa kuwa siku ya Yahwe ni karibu, Yahwe ameandaa dhabihu na amewatenga wageni wake.
Umilknij przed obliczem panującego Pana, gdyż bliski jest dzień Pański; bo Pan zgotował ofiarę, i poświęcił wezwanych swoich.
8 “Itakuja katika siku ya dhabihu ya Bwana, hivyo nitawapiga wakuu na wana wa mfalme, na kila mmoja aliyevikwa mavazi ya kigeni.
A w dzień ofiary Pańskiej nawiedzę książąt i synów królewskich, i wszystkich, którzy się obłóczą w szaty cudzoziemskie.
9 Katika siku hiyo nitawapiga wote wale ambao huruka juu ya kizingiti, wale ambao hujaza nyumba ya bwana wao kwa vurugu na udanganyifu.
Nawiedzę też dnia onego każdego, który próg przeskakuje, którzy napełniają domy panów swych łupiestwem i bezprawiem.
10 Itakuwa katika siku ile - hili ni tangazo la Yahwe - kwamba kilio cha huzuni kitakuja kutoka kwenye mlango wa samaki, ikipiga yowe kutoka Wilaya ya Pili, na sauti ya kishindo kikuu kutoka vilimani.
A dnia onego, mówi Pan, będzie głos wołania od bramy rybnej, i narzekanie od drugiej strony ( miasta ), i skruszenie wielkie od pagórków.
11 Pigeni yowe, wenyeji wa Soko la Wilaya, kwa wote wafanyabiashara watakuwa wameharibiwa, wote wale ambao hupima fedha watakuwa wamefutiliwa mbali.
Narzekajcie wy, którzy mieszkacie wewnątrz: bo wygładzony będzie wszystek lud kupiecki, wygładzeni będą wszyscy, którzy srebro noszą.
12 Itakuwa katika siku ile nitaitafuta Yerusalemu kwa taa na kuwapiga wanaume ambao watakuwa wamekaa kwenye mvinyo wao na kusema mioyoni mwao, 'Yahwe hatafanya chochote, ama kizuri au kiovu.'.
I stanie się w on czas, że Jeruzalem szpiegować będę z pochodniami, i nawiedzę mężów, którzy polgnęli w drożdżach swoich, mówiąc w sercu swojem: Pan nie uczyni dobrze, ani źle uczyni.
13 Mali zao zitakuja kuporwa, na nyumba zao zitakuwa zimetelekezwa kwa maangamizi! Watajenga nyumba lakini hawataishi humo, na kupanda mizabibu lakini hawatakunywa mvinyo wake.
Bo majętność ich przyjdzie na rozchwycenie, i domy ich na spustoszenie; pobudują domy, lecz w nich mieszkać nie będą; i będą sadzić winnice, ale z nich wina pić nie będą.
14 Siku kubwa ya Yahwe ni karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
Bliski jest wielki dzień Pański, bliski jest i spieszny bardzo głos dnia Pańskiego; tam i mocarz gorzko wołać będzie.
15 Siku hiyo itakuwa siku ya ghadabu, siku ya huzuni na uchungu, siku ya dhoruba na maangamizi, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene.
Dzień gniewu będzie ten dzień, dzień utrapienia i ucisku, dzień zamięszania i spustoszenia, dzień ciemności i mroku, dzień obłoku i chmury;
16 Itakuwa siku ya parapanda na kengele dhidi ya ngome mijini na buruji ndefu.
Dzień trąby i trąbienia przeciwko miastom obronnym i przeciwko basztom wysokim,
17 Hivyo nitaleta dhiki juu ya wanadamu, kwa hiyo watatembea karibu kama wanaume vipofu tangu walipofanya dhambi dhidi ya Yahwe. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na sehemu zao za ndani kama kinyesi.
W który ludzi utrapieniem ścisnę, że jako ślepi chodzić będą, ponieważ przeciwko Panu zgrzeszyli; i wylana będzie krew ich jako proch, a ciała ich jako gnój.
18 Wala fedha zao wala dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa juu ya ghadhabu ya Yahwe. Ndani ya moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, hivyo ataleta ukamilifu, miwisho wa kutisha kwa wote wakaao duniani.”
Ani srebro ich, ani złoto ich nie będzie ich mogło wyrwać w dzień gniewu Pańskiego; bo ogniem zapalczywości jego będzie ta wszystka ziemia pożarta, przeto, że zapewne koniec prędki uczyni wszystkim obywatelom ziemi.

< Sefania 1 >