< Sefania 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana Hezekia, katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda. “
Dette er Herrens ord som kom til Sefanias, sønn av Kusi, sønn av Gedalja, sønn av Amarja, sønn av Esekias, i de dager da Josias, Amons sønn, var konge i Juda.
2 Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Bort, bort vil jeg ta alt av jorden, sier Herren.
3 Nitamwangamiza mtu na mnyama; Nitawaangamiza ndege wa mbinguni na samaki wa baharini, uharibifu pamoja na waovu. Hivyo nitamfutilia mbali mtu kutoka uso wa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
Jeg vil ta bort mennesker og dyr, ta bort himmelens fugler og havets fisker og alt det som volder anstøt, sammen med de ugudelige, og jeg vil utrydde menneskene av jorden, sier Herren.
4 Nitafika kwa mkono wangu juu ya Yuda na wote wenyeji wa Yerusalemu. Nitafutilia mbali kila mabaki ya Baali kutoka sehemu hii na majina ya watu waabuduo sanamu miongoni mwa makuhani,
Jeg vil rekke min hånd ut mot Juda og mot alle Jerusalems innbyggere, og jeg vil utrydde av dette sted alt som er igjen av Ba'al, avgudsprestenes navn sammen med prestene
5 watu ambao juu ya nyumba huabudu miili ya mbinguni, na watu ambao huabudu na kuapa kwa Yahwe bali ambao pia huapa kwa mfalme wao.
og dem som på takene tilbeder himmelens hær, og dem som tilbeder Herren og sverger ham troskap, men på samme tid sverger ved sin konge,
6 Nitawafutilia mbali pia wale ambao wamegeuka nyuma kutoka kumfuata Yahwe, wale ambao pia humtafuta Yahwe pasipo kuuliza ulinzi wake.
og dem som har vendt sig bort fra Herren, og som ikke har søkt Herren og ikke spurt efter ham.
7 Uwe kimya mbele ya Bwana Yahwe! Kwa kuwa siku ya Yahwe ni karibu, Yahwe ameandaa dhabihu na amewatenga wageni wake.
Vær stille for Herren, Israels Gud! For Herrens dag er nær; Herren har stelt til en offerslaktning, han har innvidd sine gjester.
8 “Itakuja katika siku ya dhabihu ya Bwana, hivyo nitawapiga wakuu na wana wa mfalme, na kila mmoja aliyevikwa mavazi ya kigeni.
Og på Herrens offerslaktnings dag vil jeg hjemsøke høvdingene og kongens sønner og alle som klær sig i utenlandske klær.
9 Katika siku hiyo nitawapiga wote wale ambao huruka juu ya kizingiti, wale ambao hujaza nyumba ya bwana wao kwa vurugu na udanganyifu.
Og jeg vil på den dag hjemsøke hver den som hopper over dørtreskelen, dem som fyller sin Herres hus med vold og svik.
10 Itakuwa katika siku ile - hili ni tangazo la Yahwe - kwamba kilio cha huzuni kitakuja kutoka kwenye mlango wa samaki, ikipiga yowe kutoka Wilaya ya Pili, na sauti ya kishindo kikuu kutoka vilimani.
På den dag, sier Herren, skal det lyde skrik fra Fiskeporten og hyl fra stadens andre del og stort brak fra haugene.
11 Pigeni yowe, wenyeji wa Soko la Wilaya, kwa wote wafanyabiashara watakuwa wameharibiwa, wote wale ambao hupima fedha watakuwa wamefutiliwa mbali.
Hyl, I som bor i Morteren! For hele kana'anitterfolket er utslettet; alle de som slepte på masser av sølv, er utryddet.
12 Itakuwa katika siku ile nitaitafuta Yerusalemu kwa taa na kuwapiga wanaume ambao watakuwa wamekaa kwenye mvinyo wao na kusema mioyoni mwao, 'Yahwe hatafanya chochote, ama kizuri au kiovu.'.
Og på den samme tid vil jeg ransake Jerusalem med lykter, og jeg vil hjemsøke de folk som ligger på sin berme og sier i sitt hjerte: Herren gjør hverken godt eller ondt.
13 Mali zao zitakuja kuporwa, na nyumba zao zitakuwa zimetelekezwa kwa maangamizi! Watajenga nyumba lakini hawataishi humo, na kupanda mizabibu lakini hawatakunywa mvinyo wake.
Og deres gods skal bli til rov, og deres hus ødelegges; de skal bygge hus, men ikke bo i dem, og plante vingårder, men ikke drikke vin fra dem.
14 Siku kubwa ya Yahwe ni karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
Nær er Herrens dag, den store; den er nær og kommer med stor hast. Hør! Det er Herrens dag! Full av angst skriker da kjempen.
15 Siku hiyo itakuwa siku ya ghadabu, siku ya huzuni na uchungu, siku ya dhoruba na maangamizi, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene.
En vredes dag er den dag, en dag med nød og trengsel, en dag med omstyrtelse og ødeleggelse, en dag med mørke og mulm, en dag med skyer og skodde,
16 Itakuwa siku ya parapanda na kengele dhidi ya ngome mijini na buruji ndefu.
en dag med basunklang og hærskrik mot de faste byer og de høie murtinder.
17 Hivyo nitaleta dhiki juu ya wanadamu, kwa hiyo watatembea karibu kama wanaume vipofu tangu walipofanya dhambi dhidi ya Yahwe. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na sehemu zao za ndani kama kinyesi.
Da vil jeg sette slik angst i menneskene at de går der som blinde, fordi de har syndet mot Herren; og deres blod skal utøses som støv, og deres kjøtt som møkk.
18 Wala fedha zao wala dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa juu ya ghadhabu ya Yahwe. Ndani ya moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, hivyo ataleta ukamilifu, miwisho wa kutisha kwa wote wakaao duniani.”
Hverken deres sølv eller deres gull skal kunne berge dem på Herrens vredes dag; ved hans nidkjærhets ild skal hele jorden bli fortært; for han vil gjøre ende, ja brått gjøre ende på alle dem som bor på jorden.

< Sefania 1 >