< Sefania 3 >

1 Ole kwa mji ulioasi! Mji wenye vurugu umenajisiwa.
Biada brudnemu i splugawionemu miastu ucisku!
2 Haukuisikiliza sauti ya Mungu, wala haukupokea masahihisho kutoka kwa Yahwe. Hakumtumaini Yahwe na hatamkaribia Mungu wake.
Nie słuchało głosu ani nie przyjmuje upomnienia, nie zaufało PANU, nie zbliżyło się do swego Boga.
3 Wafalme wao ni simba wanaounguruma miongoni mwao. Waamuzi wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza kitu ambacho kitakuwa kimemung'unywa asubuhi yake.
Jego książęta pośrodku niego są lwami ryczącymi, jego sędziowie są wilkami nocnymi, [które] nie gryzą kości aż do rana.
4 Manabii wake wanakiburi na wanaume wasaliti. Makuhani wake wamepanajisi mahali patakatifu na wameifanyia vurugu sheria.
Jego prorocy są lekkomyślni, to ludzie przewrotni; jego kapłani zbezcześcili świątynię, pogwałcili prawo.
5 Yahwe ni mwenye haki miongoni mwao. Hawezi kufanya makosa. Kila asubuhi husimamia haki yake! Haitafichika nuruni, hata hivyo watu wasio wenye haki hawajui kuona aibu.
PAN sprawiedliwy jest pośród niego, nie czyni nieprawości; każdego poranka wystawia swój sąd na światłość i nie zawodzi; lecz złośnik nie zna wstydu.
6 Nimeyaharibu mataifa; ngome zao zimeharibiwa. Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna hata mmoja anayepitia kwake. Miji yao imeharibiwa kwa hiyo hakuna mtu anayeikaa.
Wykorzeniłem narody, ich baszty są spustoszone, spustoszyłem ich ulice, tak że nikt nie przechodzi. Ich miasta są zniszczone, tak że nie ma ani człowieka, ani [żadnego] mieszkańca.
7 Nikasema, 'Hakika mtaniogopa mimi. Pokeeni masahihisho na msikatiliwe mbali kutoka kwenye miji yenu kwa yote yale niliyokuwa nimeyapanga kuyafanya kwenu.' Lakini walikuwa na shauku kuanza kila siku kwa kuharibu matendo yao yote.
Powiedziałem: Teraz na pewno będziesz się mnie bać, przyjmiesz upomnienie, aby nie zostało zniszczone twoje mieszkanie, jakkolwiek cię ukarzę. Ale wstali rano i psuli wszystkie swoje czyny.
8 Kwa hiyo ningojeni - hili ni tamko la Yahwe - mpaka siku ambayo nitainuka kwa ajili ya waathirika. Uaamuzi wangu nikuwakusanya mataifa, kuzikusanya falme, na kumwaga juu yao hasira yangu, uchungu wangu wote mkali, hivyo nchi yote itamezwa kwa moto wa hasira yangu.
Dlatego oczekujcie mnie, mówi PAN, do dnia, w którym powstanę do łupu. Postanowiłem bowiem zebrać narody i zgromadzić królestwa, aby wylać na nie swoje rozgniewanie, całą zapalczywość swojego gniewu. Zaprawdę, cała ziemia będzie pożarta ogniem mojej gorliwości.
9 Ndipo nitawapa midomo safi watu, kuwaita wote kwa jina la Bwana kunitumikia wakisimama bega kwa bega.
Wówczas bowiem przywrócę narodom czyste wargi, aby wszyscy wzywali imienia PANA i służyli mu jednomyślnie.
10 Kutoka ng'ambo ya mto Ethiopia waniabuduo - watu wangu waliotawanyika - wataleta dhabihu kwa sababu yangu.
Zza rzek Etiopii przyniosą mi dary moi czciciele, córka moich rozproszonych.
11 Katika siku hiyo hamtawekwa kwenye woga kwa matendo yenu yote ambayo mmeyafanya dhidi yangu, tangu wakati ule nitaondoa kutoka kwenu wale waliosherehekea fahari yenu, na kwa sababu hamtakuwa na muda mrefu kufanya majivuno juu ya mlima wangu mtakatifu.
W tym dniu nie zawstydzisz się z powodu wszystkich twoich uczynków, którymi wystąpiłeś przeciwko mnie. Wtedy bowiem usunę spośród ciebie tych, którzy chełpią się twoją sławą, i już nie będziesz się wywyższać na mojej świętej górze.
12 Lakini nitawaacha kama wa chini zaidi na watu masikini, na mtapata kimbilio katika jina la Yahwe.
I pozostawię pośród ciebie lud ubogi i nędzny, i będzie ufać imieniu PANA.
13 Mkazi wa Israeli si muda mrefu hatafanya udhalimu au kusema uongo, na hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao; hivyo watalisha na kulala chini, na hakuna hata mmoja atakayewafanya kuogopa.”
Resztka Izraela nie będzie czynić nieprawości ani nie będzie mówić kłamstwa; nie znajdzie się w jej ustach język zdradliwy. Ale będzie się paść i odpoczywać, a nikt nie będzie jej straszyć.
14 Imba, binti Sayuni! Piga kelele, Israeli. Ufurahi na kushangilia kwa moyo wako wote, binti wa Yerusalemu.
Zaśpiewaj, córko Syjonu! Wykrzykuj, Izraelu! Ciesz się i raduj z całego serca, córko Jerozolimy!
15 Yahwe ameiondoa hukumu yako; amewafukuzia mbali adui zako! Yahwe ni mfalme wa Israeli miongoni mwenu. Kamwe hamtamwogopa tena mwovu!
PAN oddalił twoje sądy, usunął twojego wroga. Król Izraela, PAN, [jest] pośród ciebie. Nie będziesz już oglądał zła.
16 Katika siku hizo watasema kwa Yerusalemi, “Usiogope, Sayuni. Usiiache mikono yako ilegee.
W tym dniu powiedzą do Jerozolimy: Nie bój się! [A do] Syjonu: Niech nie mdleją twoje ręce!
17 Yahwe Mungu wako yuko katikati yenu, mwenye nguvu wa kuwaokoa. Atasherehekea juu yenu na kwa furaha atakuwa kimya juu yenu kwa upendo wake. Atakuwa na furaha juu yenu na atashangilia kwa furaha,
PAN, twój Bóg, pośród ciebie jest potężny; on [cię] zbawi i rozraduje się wielce nad tobą; będzie się cieszyć ze swojej miłości [wobec ciebie] i rozweseli się nad tobą ze śpiewaniem, [mówiąc]:
18 katika siku maalumu ya sherehe. Nitaondoa maafa kutoka kwenu; si muda mrefu hamtabeba aibu kwa ajili yake.
Zbiorę tęskniących za uroczystym zgromadzeniem, [bo] wśród ciebie są [też smutni z powodu] brzemienia zniewagi włożonego na ciebie.
19 Tazama, Niko tayari kuwashughulikia watesi wenu wote. Katika wakati ule, Nitawaokoa waliolemaa na kuwakusanya waliotupiliwa mbali. Nitawafanya kuwa sifa, na nitaibadilisha aibu yao iwe sifa katika dunia yote.
Oto w tym czasie uczynię kres wszystkim, którzy cię trapią, a zbawię chromą i zgromadzę wygnaną; okryję ich chwałą i imieniem w całej ziemi, w której doznawali hańby.
20 Katika wakati ule nitawaongoza; katika wakati ule nitawakusanya pamoja. Nitawafanya mataifa yote ya dunia kuwaheshimu na kuwasifu, wakati mtakapoona hivyo, Nitakuwa nimewarudisha”, asema Yahwe.
W tym czasie przyprowadzę was, w tym czasie, mówię, zgromadzę was. Dam wam bowiem imię i chwałę pośród wszystkich narodów ziemi, gdy na waszych oczach odwrócę waszą niewolę – mówi PAN.

< Sefania 3 >