< Sefania 2 >

1 Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
Изпитайте себе си, да! изпитайте, Народе безсрамни,
2 kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
Преди да произведе указът действието си, - (Денят минава като плява, - Преди да ви сполети лютият гняв Господен, Преди да ви постигне денят на гнева Господен.
3 Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
Търсете Господа, всички кротки на земята, Които извършвате съдбите му; Търсете правда, търсете кротост, Негли бъдете покрити в деня на гнева Господен.
4 hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
Защото Газа ще бъде оставена, И Аскалон ще бъде запустен; Ще изгонят Азот на пладне, И Акарон ще се изкорени.
5 Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
Горко на жителите на морските брегове, На Херетцкия народ! Словото Господне е против вас; И тебе, Ханаане, Филистимска земльо, Ще те погубя, та да няма у тебе жители.
6 Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
И морският бряг ще бъде селище с кладенци за овчари И огради за стада.
7 Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
И това крайморие ще бъде за останалите от Юдовия дом; Там ще пасат стадата си; В къщите на Аскалон ще лежат вечер; Защото Господ техният Бог ще ги посети И ще ги върне от плена им.
8 Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
Чух хулата на Моава, И укорите на Амонците, С които хулеха людете ми И горделиво нарушиха границата им.
9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
За това, заклевам се в живота си, казва Господ на Силите, Израилевият Бог, Моав непременно ще бъде като Содом, И Амонците като Гомор, Място завладяно от коприви и солници, - вечна пустота; Останалите от людете ми ще ги оберат, И оцелелите от народа ми ще ги наследят.
10 Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
Това ще им стане поради гордостта им, Защото укориха людете на Господа на Силите, И се надигнаха против тях.
11 Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
Господ ще бъде страшен за тях, Защото ще изнури всичките земни богове; И всичките острови на народите Ще му се кланят, всеки от мястото си.
12 Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
И вие, Етиопяни, Вие ще бъдете убити с меча Ми.
13 na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
Той ще простре ръката си против север И ще погуби Асирия; Ще обърне Ниневия на пустота, На място безводно като пустинята.
14 Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
Черди ще лежат всред нея, Всякакъв вид животни; Пеликанът и ежът ще обитават в капителите й; Гласът им ще екне в прозорците; Пустота ще има в праговете, Защото той ще я лиши от кедровите изделия.
15 huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.
Тоя е веселещия се град, Който живееше безгрижно, Който думаше в сърцето си - Аз съм, и освен мене няма друг! Как се обърна на пустота, Обиталище на зверове! Всеки, който минава край него, Ще подсвирне и помаха с ръката си.

< Sefania 2 >