< Zekaria 13 >

1 Katika siku hiyo kijito kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wenyeji wa Yerusalemu, kwa ajili ya dhambi na uchafu wao.
“Naquele dia haverá uma fonte aberta à casa de Davi e aos habitantes de Jerusalém, pelo pecado e pela impureza.
2 Katika siku hiyo - asema Yahwe wa majeshi - kwamba nitaondoa majina ya sanamu katika nchi ili kwamba yasikumbukwe tena. Nitawaondoa pia katika nchi manabii wa uongo na roho wao mchafu
Será nesse dia, diz Yahweh dos Exércitos, que cortarei os nomes dos ídolos da terra e eles não serão mais lembrados. Também farei com que os profetas e o espírito de impureza passem para fora da terra.
3 Ikiwa mtu yeyote ataendelea kutoa unabii, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, 'Hautaishi, kwa kuwa umenena uongo kwa jina la Yahwe! Ndipo baba na mama waliomzaa watakapomchoma wakati akitabiri.
Acontecerá que quando alguém ainda profetizar, então seu pai e sua mãe que o carregou lhe dirão: 'Você deve morrer, porque fala mentiras em nome de Iavé'; e seu pai e sua mãe que o carregou o esfaquearão quando ele profetizar.
4 Katika siku hiyo kila nabii ataonea aibu maono yake aelekeapo kutoa unabii. Manabii hawa hawatavaa tena vazi la singa, ili kuwadanganya watu.
Acontecerá naquele dia que os profetas terão vergonha de sua visão quando ele profetizar; não usarão um manto peludo para enganar,
5 Kwa maana kila mmoja atasema, 'Mimi siyo nabii! mimi ni mkulima, kwa maana ardhi ndiyo kazi yangu tangu ujana wangu!
mas ele dirá: 'Não sou profeta, sou um lavrador da terra; pois fui feito escravo desde minha juventude'.
6 Lakini mtu mwingine atamwambia, 'Majeraha haya kati ya mikono yako ni ya nini?' naye atajibu, nilijeruhiwa na waliokuwa katika nyumba ya rafiki zangu.”
Um lhe dirá: 'Que feridas são essas entre seus braços?'. Então ele responderá: 'Aqueles com os quais fui ferido na casa de meus amigos'.
7 Upanga! inuka mwenyewe dhidi ya mchungaji wangu, mtu asimamaye karibu nami - hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi. Mpige mchungaji, na kondoo watatawanyika! Kwa maana nitageuza mkono wangu dhidi ya wadogo.
“Despertai, espada, contra meu pastor”, e contra o homem que está perto de mim”, diz Yahweh dos Exércitos. “Bata no pastor, e as ovelhas serão dispersas”; e eu vou virar minha mão contra os pequenos.
8 Kisha itakuwa kwamba katika nchi yote - hivi ndivyo asemavyo Yahwe - kwamba theluthi mbili yake itaondolewa! Watu hao wataangamia; theluthi moja tu ndiyo itakayosalia.
Acontecerá que em toda a terra”, diz Yahweh, “duas partes dele serão cortadas e morrerão”; mas o terceiro será deixado nele.
9 Nitaipitisha hiyo ya tatu motoni na kuwasafisha kama fedha isafishwavyo; nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo. Wataliitia jina langu nami nitawajibu na kusema, 'Hawa ni watu wangu!' nao watasema, Yahwe ndiye Mungu wangu!”
trarei a terceira parte para o fogo, e os refinará à medida que a prata for refinada, e os testará como se o ouro fosse testado. Eles invocarão meu nome, e eu os ouvirei. Eu direi: “É meu povo”. e eles dirão: 'Yahweh é meu Deus'”.

< Zekaria 13 >