< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
Cântico de cânticos, que é de Salomão.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Beije-me ele com os beijos da sua boca; porque melhor é o teu amor do que o vinho.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Para cheirar são bons os teus unguentos, como o unguênto derramado o teu nome é; por isso as virgens te amam.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Leva-me tu, correremos após ti. O rei me introduziu nas suas recâmaras: em ti nos regozijaremos e nos alegraremos: do teu amor nos lembraremos, mais do que do vinho: os retos te amam.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
Morena sou, porém aprazível, ó filhas de Jerusalém, como as tendas de Kedar, como as cortinas de Salomão.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Não olheis para o eu ser morena; porque o sol resplandeceu sobre mim: os filhos de minha mãe se indignaram contra mim, puseram-me por guarda de vinhas; a minha vinha que me pertence não guardei.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Dize-me, ó tu, a quem a minha alma ama: Onde apascentas o teu rebanho, onde o recolhes pelo meio dia: pois por que razão seria eu como a que se cobre ao pé dos rebanhos de teus companheiros?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
Se tu o não sabes, ó mais formosa entre as mulheres, sai-te pelas pizadas das ovelhas, e apascenta as tuas cabras junto às moradas dos pastores.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
Às éguas dos carros de faraó te comparo, ó amiga minha.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Agradáveis são as tuas faces entre os teus enfeites, o teu pescoço com os colares.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Enfeites de ouro te faremos, com bicos de prata.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
Enquanto o rei está assentado à sua mesa, dá o meu nardo o seu cheiro.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
O meu amado é para mim um ramalhete de mirra, morará entre os meus peitos.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
Um cacho de Chypre nas vinhas de Engedi é para mim o meu amado.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Eis que és formosa, ó amiga minha, eis que és formosa: os teus olhos são como os das pombas.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Eis que és gentil e agradável, ó amado meu; o nosso leito é viçoso.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
As traves da nossa casa são de cedro, as nossas varandas de cipreste.

< Wimbo wa Sulemani 1 >