< Wimbo wa Sulemani 8 >

1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
O gdybyś był dla mnie jak brat, który ssał piersi mojej matki! Wtedy spotykałabym cię na dworze, całowałabym cię, a nie byłabym wzgardzona.
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Powiodłabym cię i wprowadziła do domu swojej matki, gdzie byś mnie uczył. A ja dałabym ci do picia wino korzenne, moszcz ze swoich granatów.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
Jego lewa ręka byłaby pod moją głową, a prawa ręka objęłaby mnie.
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
Zaklinam was, córki Jerozolimy: Nie budźcie mego umiłowanego ani nie przerywajcie [jego snu], dopóki on nie zechce.
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
Kim jest ta, która wyłania się z pustyni, wsparta na swym umiłowanym? Pod jabłonią cię wzbudziłam. Tam cię urodziła twoja matka, tam cię urodziła twoja rodzicielka.
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
Przyłóż mnie do swego serca jak pieczęć, jak pieczęć na swoim ramieniu. Miłość bowiem jest silna jak śmierć, zawiść twarda jak grób. Jej żar [jak] żar ognia i [jak] żarliwy płomień. (Sheol h7585)
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Wielkie wody nie zdołają zagasić miłości ani rzeki jej zatopić. Choćby ktoś oddał cały majątek swego domu za taką miłość, byłby z pewnością wzgardzony.
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
Mamy małą siostrę, która jeszcze nie ma piersi. Cóż uczynimy z naszą siostrą w dniu, w którym będą o nią zabiegać?
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Jeśli jest murem, zbudujemy na niej srebrny pałac; a jeśli drzwiami, oprawimy ją deskami z cedru.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Ja [jestem] murem, a moje piersi jak wieże. Odtąd byłam w jego oczach jak ta, która znalazła pokój.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
Salomon miał winnicę w Baal-Hamon, [którą] najął stróżom; każdy miał przynosić za jej owoc tysiąc srebrników.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
Ale moja winnica, którą mam, [jest] przede mną. Miej ty sobie tysiąc srebrników, Salomonie, a dwieście [niech wezmą] ci, którzy strzegą jej owocu.
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
O ty, która mieszkasz w ogrodach, przyjaciele słuchają twego głosu; daj mi go usłyszeć.
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
Pospiesz się, mój umiłowany, i bądź podobny do sarny albo młodego jelenia na górach wonności.

< Wimbo wa Sulemani 8 >