< Wimbo wa Sulemani 8 >

1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
I wish that you were like my brother, who nursed at my mother's breasts. Then whenever I met you outside, I could kiss you, and no one would despise me.
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
I would lead you and bring you into my mother's house— she who taught me. I would give you spiced wine to drink and some of the juice of my pomegranates.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
His left hand is under my head and his right hand embraces me.
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
I want you to swear, daughters of Jerusalem, that you will not interrupt our lovemaking until it is over.
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
Who is this who is coming up from the wilderness, leaning on her beloved? The woman speaking to the man I awakened you under the apricot tree; there your mother conceived you; there she gave birth to you, she delivered you.
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
Set me as a seal over your heart, like a seal on your arm, for love is as strong as death. Passionate devotion is as unrelenting as Sheol; its flames burst out; it is a blazing flame, a flame hotter than any other fire. (Sheol h7585)
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Surging waters cannot quench love, nor can floods sweep it away. If a man gave all the possessions in his house for love, the offer would utterly be despised.
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
We have a little sister, and her breasts have not yet grown. What can we do for our sister on the day when she will be promised in marriage?
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
If she is a wall, we will build on her a tower of silver. If she is a door, we will adorn her with boards of cedar.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
I was a wall, but my breasts are now like fortress towers; so I am in his eyes as one who brings peace.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
Solomon had a vineyard at Baal Hamon. He gave the vineyard to those who would maintain it. Each one was to bring a thousand shekels of silver for its fruit.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
My vineyard, my very own, is before me; the thousand shekels are for you, Solomon, and the two hundred shekels are for those who maintain its fruit.
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
You who live in the gardens, my companions are listening for your voice; let me hear it.
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
Hurry, my beloved, and be like a gazelle or a young stag on the mountains of spices.

< Wimbo wa Sulemani 8 >