< Wimbo wa Sulemani 5 >

1 Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Moulang: Keima ka kallha luttai ka honlei, kagoulu, kajidinu komah! Keiman Myrrh toh amuinam theiho ka chomkhom in, ka khoiphanga khoiju ka chop’e. Ka lengpitwi toh bongnoi ka don’e.
2 Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
Zailom: O goldei le ngai umte, neuvin lang, don un! Henge, ngailutna hi donkham vaset un.
3 “Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
Mounu: Keima ka-ihmun, hinlah kalung alimgeh-e kangai penpan kot ahin kiuva eihin kou awgin: “Kot neihonin, O kagoulu, kangainu, kavakhu, kadinga chamkimpen; ka lujang daitwi akottan, ka jangsam daitwi alhopsoh tai,” tia ahinsei kajah chun keiman kadonbut in: “Keiman von kana kisutlhah man tan, kahung kivon kit ding ham? Ka keng kana kisop ngim tan, ka chotnen kit ding ham?”
4 Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
Kangai penpan kot chu ahin hong gotan, hichun ka lung thathou lheh jeng tai.
5 Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
Keiman ka dongmapa kot honpeh ding in thanom tah in ka chomdoh-in, ka khut chung ah jong gimnamtwi kavatnatsah-in ahi. Ka khut jung Myrrh gimtwija chun kotkil chu kahong tan ahi.
6 Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
Kangai penpa din kot kahonpeh tan, hinlah ama anaum tapoi! Kalung lhadah del jeng tai. Ama holnan kadahlen, hinlah kamu jouta poi. Ka koule-in hinlah adonbutna awgin akija tapoi.
7 Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
Janlaija khongah hon khosung avel le laijun eihung mudoh-un, eijep pop chetchut jeng un, ka ponlukhuh eihodoh peh-un ahi.
8 Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
Vo Jerusalem chanute, katem nahiuve-kadongmapa na kimupi khah bang uleh, ama lhangai nan ka tahsa akem lheh jeng tai tihi neina seipeh tauvin.
9 Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
Zailom: Idinga na dongma pachu midang jouse sanga dei um chomdeh hija ham, O melhoi kidang lanu? Ipin na dongma pachu atumbeh-a alulsah chom hija keihon nei temnau chu ka nun diu ham?
10 Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
Mounu: Kangai penpa chu donghoisel in avouso ajolsel in, aemsel jeng in, midang asang-aja sang in ahoijoi.
11 Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
Alujang chu songmantam sang in ahoijon, asam jang va-ah vom bang in avom’e.
12 Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
Amit teni khaltwi panga tou vakhu bang in aval lheng in, sana khiba bongnoitwi-a kisop ngimsel tobang ahi.
13 Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
Abengmai chu muinampah honlei, gimtwi hinlhut dohji tobang khu ahi. Ane geiteni jong Lily pah Myrrh gimtwi kichap khum tobang ahi.
14 Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
Abanjang jong sana pum kihehkol’a sana pahjema kijempol bangin alhanlhaije. Atahsa pum saiha kinotval lhenga, Sapphire songa ki tomjol toh abang’e.
15 Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
Akengteni jong sana khomtoa kon kitungdoh ngunsong khom abang’e. Atahsa gongso adingchah-in, Lebanon lhang bang in ahuikaijin, alhang lehvuma Cedar thing huikai abang’e.
16 Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.
Akamsung alhum in, imalam jousea dei umtah chu ahi. Vo Jerusalem chanute, ka ngaipen; ka goldei chu hitobang chu ahi.

< Wimbo wa Sulemani 5 >