< Wimbo wa Sulemani 5 >

1 Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Дойдох в градината си, сестро моя, невясто; Обрах смирната си и ароматите си; Ядох медената си пита с меда си; Пих виното си с млякото си. Яжте, приятели; Пийте, да! изобилно пийте, възлюбени.
2 Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
Аз спях, но сърцето ми беше будно; И ето гласът на възлюбения ми; той хлопа и казва: Отвори ми, сестро моя, любезна моя! Гълъбица моя, съвършена моя; Защото главата ми се напълни с роса, Косите ми с нощни капки.
3 “Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
Но аз си рекох: Съблякох дрехата си, - как да я облека? Умих нозете си, - как да ги окалям?
4 Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
Възлюбеният ми провря ръката си си през дупката на вратата; И сърцето ми се смути за него.
5 Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
Аз станах да отворя на възлюбения си; И от ръцете ми капеше смирна, И от пръстите ми плавка смирна, Върху дръжките на ключалката.
6 Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
Отворих на възлюбения си; Но възлюбеният ми беше се оттеглил, отишъл бе. Извиках: Душата ми ослабваше когато ми говореше! Потърсих го, но не го намерих; Повиках го, но не ми отговори.
7 Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
Намериха ме стражарите, които обхождат града, Биха ме, раниха ме; Пазачите на стените ми отнеха мантията.
8 Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
Заклевам ви, ерусалимски дъщери, ако намерите възлюбения ми, - то що? Кажете му, че съм ранена от любов.
9 Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
В що различава твоят възлюбен от друг възлюбен, О ти прекрасна между жените? В що различава твоят възлюбен от друг възлюбен, Та ни заклеваш ти така?
10 Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
Възлюбеният ми е бял и румен, Личи и между десет хиляди.
11 Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
Главата му е като най-чисто злато; Косите му са къдрави, черни като гарван;
12 Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
Очите му, умити в мляко, и като прилично вложени скъпоценни камъни, Са подобни на очите на гълъби при водни потоци;
13 Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
Бузите му са като лехи с аромати, Като бряг с благоуханни растения; Устните му са като кремове, от които капе плавка смирна;
14 Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
Ръцете му са като златни цилиндри покрити с хрисолит; Тялото му е като изделие от слонова кост украсено със сапфири;
15 Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
Краката му са като мраморни стълбове Закрепени на подложки от чисто злато; Изгледът му е като Ливан, изящен като кедрове;
16 Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.
Устата му са много сладки; и той цял е прелестен. Такъв е възлюбеният ми, и такъв е приятелят ми, О ерусалимски дъщери.

< Wimbo wa Sulemani 5 >