< Wimbo wa Sulemani 4 >

1 O, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; wewe ni mzuri. Macho yako ni ya hua nyuma kitamba chako cha uso. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likienda chini kutoka Mlima Gileadi.
Wo ho yɛ fɛ, me dɔfo! Ao, wo ho yɛ fɛ! Wʼaniwa a ɛhyehyɛ wo nkataanim mu no te sɛ aborɔnoma. Wo nwi te sɛ mpapokuw a wɔresian Gilead Bepɔw.
2 Meno yako ni kama kondoo walio nyolewa, wakitoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja ana pacha, na hamna ata mmoja miongoni mwao aliyefiwa.
Wo se te sɛ nguankuw a wɔatwitwa wɔn ho nwi foforo, a wofi aguaree. Baako mpo nyeraa ɛ.
3 Mdomo wako ni kama uzi mwekendu; mdo wako wapendeza. Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso.
Wʼanofafa te sɛ koogyan hama; wʼano yɛ fɛ. Wʼasontɔre a ɛhyɛ wo nkataanim mu te sɛ ntunkum aduaba fa.
4 Shingo yako ni kama mnara wa Daudi ukiwa umejengwa kwa mistari ya mawe, na ngao elfu moja ikining'nia juu yake, ngao zote za wanajeshi.
Wo kɔn te sɛ Dawid abantenten, a wɔasi no fɛɛfɛ; na akokyɛm apem sensɛn ho, a ne nyinaa yɛ akofo kyɛm.
5 Maziwa yako mawili ni kama swala wawili, mapacha wa ayala, wakila miongoni mwa nyinyoro.
Wo nufu te sɛ atwemma abien, atwemma nta a wodidi wɔ sukooko mu.
6 Hadi jioni ifike na vivuli viondoke, nitaenda kwenye mlima wa manemane na vilima vya ubani.
Enkosi sɛ ade bɛkye, ama honhom aguan no, mɛkɔ kurobow bepɔw ne aduhuam nkoko no so.
7 Wewe ni mzuri kwa kila namna, mpenzi wangu na hakuna lawama ndani yako.
Me dɔfo, wo ho yɛ fɛ papa; wo ho nni dɛm biara.
8 Njoo nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu. Njoo nami kutoka Lebanoni; njoo kutoka juu ya Amana, kutoka juu ya Seneri na Herimoni, kutoka shimoni mwa simba, kutoka mashimo ya milima ya chuwi.
Ma yemfi Lebanon, mʼayeforo, wo ne me mfi Lebanon nkɔ. Sian fi Amana atifi bra, fi Senir atifi, Hermon apampam hɔ, fi gyata buw mu ne mmepɔw a asebɔ dɛɛdɛɛ hɔ.
9 Umeuiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeuiba moyo wangu, kwa mtazamo mmoja tu wako kwangu, kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Woagye me koma abɔ so, me nuabea, mʼayeforo; woagye me koma abɔ so; wode wʼani a ɛbɔɔ me so, ne wo kɔnmuade mu ɔbohemaa baako.
10 Jinisi gani upendo wako ulivyo mzuri, dada yangu, bibi arusi wangu! Jinsi gani zaidi upendo wako ulivyo bora kuliko mvinyo, na arufu ya marashi yako kuliko manukato yeyote.
Wo dɔ yɛ anigye, me nuabea, mʼayeforo! Hwɛ, wo dɔ sɔ ani sen bobesa, na wʼaduhuam yɛ huam sen pɛprɛ biara.
11 Midomo yako, bibi arusi wangu, yatiririka asali; asali na maziwa vichini ya ulimi wako; arufu ya mavazi yako ni kama marashi ya Lebanoni.
Asɛm dɛdɛ fi wʼano sɛ ɛwokyɛm, mʼayeforo; nufusu ne ɛwo wɔ wo tɛkrɛma ase. Wo ntade mu hua te sɛ Lebanon de.
12 Dada yangu, bibi arusi wangu ni bustani ilio fungwa, bustani ilio fungwa, chemchemi iliyo fungwa kwa muhuri.
Wote sɛ turo a wɔato ano pon mu, me nuabea, mʼayeforo; woyɛ asuti a wɔagye ho ban, asubura a wɔasɔw ano.
13 Matawi yako ni kichaka cha miti ya komamanga yenye matunda tofauti, na ya mimea ya hina na nardo,
Wo nnua yɛ nnuabafuw so ntunkum a ɛsow aba pa, ahuahaa ne nnuannua,
14 Nardo na Zafarani, mchai na mdalasini pamoja na aina zote za uvumba, manemane na udi na aina tofauti za manukato.
nnuannua ne mmetire, osiko ne sinamon, a ohuamfufu nnua ahorow, kurobow ne dupapo ne pɛprɛ papa ahorow nyinaa ka ho.
15 Wewe ni bustani ya chemchemi, kisima cha maji safi, mifereji inayo shuka kutoka Lebanoni. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Woyɛ asubura turo, abura a nsu sen fi mu a ɛsen fi Lebanon.
16 Amka, upepo wa kaskazini; njoo, upepo wa kusini; vuma katika bustani yangu ili manukato yake yatoe marashi. Mpenzi wangu na aje katika bustani yake na kula matunda ya chaguo lake.
Sɔre, atifi fam mframa! Bra, anafo fam mframa! Bɔ fa me turo mu, sɛnea ɛbɛyɛ a ne hua no begyigye afa baabiara. Ma me dɔfo mmra ne turo mu na ɔmmɛka ne nnuaba papa no nhwɛ.

< Wimbo wa Sulemani 4 >