< Wimbo wa Sulemani 4 >

1 O, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; wewe ni mzuri. Macho yako ni ya hua nyuma kitamba chako cha uso. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likienda chini kutoka Mlima Gileadi.
Redzi, tu esi skaista, mana draudzene, redzi, tu esi skaista; tavas acis ir kā baložu acis aiz tava galvas apsega. Tavi mati ir kā kazu pulks, kas guļ uz Gileād kalna.
2 Meno yako ni kama kondoo walio nyolewa, wakitoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja ana pacha, na hamna ata mmoja miongoni mwao aliyefiwa.
Tavi zobi ir kā avju pulks, kas cirptas un iznāk no peldēšanas, kas visas dvīņus vedās, un neviena starp viņām nav neauglīga.
3 Mdomo wako ni kama uzi mwekendu; mdo wako wapendeza. Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso.
Tavas lūpas ir kā purpura aukla, un tava mute ir mīlīga. Tavi vaigi ir kā granātābola puses aiz tava galvas apsega.
4 Shingo yako ni kama mnara wa Daudi ukiwa umejengwa kwa mistari ya mawe, na ngao elfu moja ikining'nia juu yake, ngao zote za wanajeshi.
Tavs kakls ir kā Dāvida tornis, kas taisīts, lai tur ieročus uzkar, kur tūkstošas priekšturamās bruņas uzkārtas, visādas stipru vīru bruņas.
5 Maziwa yako mawili ni kama swala wawili, mapacha wa ayala, wakila miongoni mwa nyinyoro.
Tavas krūtis ir kā divas jaunas stirnas, kā kalnu kazas dvīņi, kas liliju starpā ganās.
6 Hadi jioni ifike na vivuli viondoke, nitaenda kwenye mlima wa manemane na vilima vya ubani.
Kad diena metās dzestra, un ēnas bēg, tad iešu pie mirru kalna un pie vīraka pakalna.
7 Wewe ni mzuri kwa kila namna, mpenzi wangu na hakuna lawama ndani yako.
Tu esi visai skaista, mana draudzene, un pie tevis nav vainas.
8 Njoo nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu. Njoo nami kutoka Lebanoni; njoo kutoka juu ya Amana, kutoka juu ya Seneri na Herimoni, kutoka shimoni mwa simba, kutoka mashimo ya milima ya chuwi.
Nāc man līdz no Lībanus, mana brūte, nāc man līdz no Lībanus. Skaties no Amana kalna gala, no Senira un Hermona gala, no lauvu alām, no leopardu kalniem.
9 Umeuiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeuiba moyo wangu, kwa mtazamo mmoja tu wako kwangu, kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Tu man sirdi esi paņēmusi, mana māsa, mīļā brūte; tu man sirdi esi paņēmusi ar vienu actiņu, ar vienu kakla ķēdīti.
10 Jinisi gani upendo wako ulivyo mzuri, dada yangu, bibi arusi wangu! Jinsi gani zaidi upendo wako ulivyo bora kuliko mvinyo, na arufu ya marashi yako kuliko manukato yeyote.
Cik skaista ir tava mīlestība, mana māsa, mīļā brūte! Cik labāka ir tava mīlestība pār vīnu, un tavas eļļas smarža pār visām kvēpināmām zālēm.
11 Midomo yako, bibi arusi wangu, yatiririka asali; asali na maziwa vichini ya ulimi wako; arufu ya mavazi yako ni kama marashi ya Lebanoni.
Tavas lūpas, ak brūte! Pil no kausētā medus; medus un piens ir apakš tavas mēles, un tava drēbju smarža ir kā Lībanus smarža.
12 Dada yangu, bibi arusi wangu ni bustani ilio fungwa, bustani ilio fungwa, chemchemi iliyo fungwa kwa muhuri.
Tu esi aizslēgts dārzs, mana māsa, mīļā brūte, aizslēgts avots, aizslēgta aka.
13 Matawi yako ni kichaka cha miti ya komamanga yenye matunda tofauti, na ya mimea ya hina na nardo,
Tavi zari ir kā jauks dārzs, kur granātu ābeles ar dārgiem augļiem, kovera puķes ar nardēm,
14 Nardo na Zafarani, mchai na mdalasini pamoja na aina zote za uvumba, manemane na udi na aina tofauti za manukato.
Narde un safrans, kalmes un kanēlis, ar visādiem vīraka kokiem, mirres un alvejas, līdz ar vislabākām smaržīgām zālēm.
15 Wewe ni bustani ya chemchemi, kisima cha maji safi, mifereji inayo shuka kutoka Lebanoni. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Tā kā dārzu aka (tu esi), kā aka ar dzīvu ūdeni, un kā strauti no Lībanus.
16 Amka, upepo wa kaskazini; njoo, upepo wa kusini; vuma katika bustani yangu ili manukato yake yatoe marashi. Mpenzi wangu na aje katika bustani yake na kula matunda ya chaguo lake.
Celies, ziemeli, un nāc, dienvidu vējš, pūt pa manu dārzu, ka viņa zāles pil (smaržas no dārza augiem). Mans draugs lai nāk savā dārzā, un lai ēd savus skaistos augļus.

< Wimbo wa Sulemani 4 >