< Wimbo wa Sulemani 4 >

1 O, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; wewe ni mzuri. Macho yako ni ya hua nyuma kitamba chako cha uso. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likienda chini kutoka Mlima Gileadi.
Ka cangyaeh nang tah na sakthen ne. Namah tah na samtum te a hnuk kah na vahui mik neh na sakthen ne. Na sam tah Gilead tlang lamkah aka laai maae tuping bangla om.
2 Meno yako ni kama kondoo walio nyolewa, wakitoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja ana pacha, na hamna ata mmoja miongoni mwao aliyefiwa.
Na no te tuihlu lamkah aka luei mul rhuep tuping bangla om. Te boeih te phae tih amih te a dueidah laemhong moenih.
3 Mdomo wako ni kama uzi mwekendu; mdo wako wapendeza. Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso.
Na hmui tah rhuihet a lingdik bangla om tih na olding tah na samtum hnuk ah na baengpae kah tale phaklung bangla rhoeprhui mai.
4 Shingo yako ni kama mnara wa Daudi ukiwa umejengwa kwa mistari ya mawe, na ngao elfu moja ikining'nia juu yake, ngao zote za wanajeshi.
Na rhawn tah David kah rhaltoengim bangla om. Te te lungsang neh a sak tih hlangrhalh photling boeih la a soah photling thawngkhat a bang.
5 Maziwa yako mawili ni kama swala wawili, mapacha wa ayala, wakila miongoni mwa nyinyoro.
Na rhangsuk rhoi tah tuilipai lakli kah aka luem sakhi rhuinu caphae ca rhoi bangla om.
6 Hadi jioni ifike na vivuli viondoke, nitaenda kwenye mlima wa manemane na vilima vya ubani.
Khothaih thoeng tih khokhawn a bawt hil myrrah tlang hil neh hmueihtui som duela kamah hamla ka cet ni.
7 Wewe ni mzuri kwa kila namna, mpenzi wangu na hakuna lawama ndani yako.
Ka cangyaeh nang tah boeih na sakthen tih na khuiah a lolhmaih om pawh.
8 Njoo nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu. Njoo nami kutoka Lebanoni; njoo kutoka juu ya Amana, kutoka juu ya Seneri na Herimoni, kutoka shimoni mwa simba, kutoka mashimo ya milima ya chuwi.
Vasakung nang Lebanon lamloh kamah taengah, Lebanon lamloh kamah taengah na lo coeng. Amanah lu lamloh, Senir lu neh Hermon lamloh, sathueng khuisaek lamloh, kaihlaeng tlang lamloh na yiin coeng.
9 Umeuiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeuiba moyo wangu, kwa mtazamo mmoja tu wako kwangu, kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Ka ngannu aw kai nan hloih coeng. Vasakung aw na mik lamkah pakhat pakhat neh, na rhawn kah oi pakhat neh kai nan hloih.
10 Jinisi gani upendo wako ulivyo mzuri, dada yangu, bibi arusi wangu! Jinsi gani zaidi upendo wako ulivyo bora kuliko mvinyo, na arufu ya marashi yako kuliko manukato yeyote.
Ka ngannu neh vasanu nang hlo tah sawtthen tangkik. Na hlo tah misurtui lakah hoeikhang tih, botui boeih lakah na situi hmuehmuei tangkik.
11 Midomo yako, bibi arusi wangu, yatiririka asali; asali na maziwa vichini ya ulimi wako; arufu ya mavazi yako ni kama marashi ya Lebanoni.
Vasanu nang kah hmuilai ah khoilitui cip tih na lai yung te khoitui neh suktui om. Na himbai kah hmuehmuei khaw Lebanon hmuehmuei bangla om.
12 Dada yangu, bibi arusi wangu ni bustani ilio fungwa, bustani ilio fungwa, chemchemi iliyo fungwa kwa muhuri.
Ka ngannu vasanu tah dum la a mak, lungkuk la a mak, tuisih bangla catui a hnah thil.
13 Matawi yako ni kichaka cha miti ya komamanga yenye matunda tofauti, na ya mimea ya hina na nardo,
Khotu tale neh, thaihtae cangtham neh, tlansum rhai-ul neh na pumcumnah.
14 Nardo na Zafarani, mchai na mdalasini pamoja na aina zote za uvumba, manemane na udi na aina tofauti za manukato.
Dingtawn rhai-ul, singkaek thingsa, hmueihtui thing boeih, myrrah thingul, botui boeilu, cungkuem van pawn ni.
15 Wewe ni bustani ya chemchemi, kisima cha maji safi, mifereji inayo shuka kutoka Lebanoni. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Dum kah tuisih, tuito dongkah hingnah tui neh Lebanon lamloh aka sih pawn ni.
16 Amka, upepo wa kaskazini; njoo, upepo wa kusini; vuma katika bustani yangu ili manukato yake yatoe marashi. Mpenzi wangu na aje katika bustani yake na kula matunda ya chaguo lake.
Tlangpuei aw haenghang lamtah tuithim aw ha thoeng laeh. Oila Ka dum he yaap lamtah a botui te sih lah saeh. Kai hlo loh amah dum la cet saeh lamtah a thaihtae cangtham ca lah saeh.

< Wimbo wa Sulemani 4 >