< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
upon bed my in/on/with night to seek [obj] which/that to love: lover soul my to seek him and not to find him
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
to arise: rise please and to turn: surround in/on/with city in/on/with street and in/on/with street/plaza to seek [obj] which/that to love: lover soul my to seek him and not to find him
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
to find me [the] to keep: guard [the] to turn: surround in/on/with city [obj] which/that to love: lover soul my to see: see
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
like/as little which/that to pass from them till which/that to find [obj] which/that to love: lover soul my to grasp him and not to slacken him till which/that to come (in): bring him to(wards) house: home mother my and to(wards) chamber to conceive me
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
to swear [obj] you daughter Jerusalem in/on/with gazelle or in/on/with doe [the] land: country if: surely no to rouse and if: surely no to rouse [obj] [the] love till which/that to delight in
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
who? this to ascend: rise from [the] wilderness like/as column smoke to offer: to perfume myrrh and frankincense from all aromatic powder to trade
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
behold bed his which/that to/for Solomon sixty mighty man around to/for her from mighty man Israel
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
all their to grasp sword to learn: teach battle man: anyone sword his upon thigh his from dread in/on/with night
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
carriage to make to/for him [the] king Solomon from tree: wood [the] Lebanon
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
pillar his to make silver: money back his gold chariot his purple midst his to fit love from daughter Jerusalem
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
to come out: come and to see: see daughter Zion in/on/with king Solomon in/on/with crown which/that to crown to/for him mother his in/on/with day marriage his and in/on/with day joy heart his

< Wimbo wa Sulemani 3 >