< Wimbo wa Sulemani 2 >

1 Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
Kai tah Sharon rhaimoei neh tuikol kah tuilipai ni.
2 Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Mutlo hling puem kah tuilipai bangla tanu lakli tah kamah cangyaeh van pawn ni.
3 Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
Duup thing lakli thaihthawn kah bangla tongpa lakli ah tah kamah hlo van pawn ni. A hlipkhup ah ka naep tih ka ngol vaengah a thaih khaw ka dang dongah didip mai.
4 Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
Misur im la kai n'khuen tih kai soah amah kah lungnah hnitai a hlaek.
5 Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Ka lungnah he a tloh dongah yukhap neh kai n'duel tih thaihthawn neh kai n'caih sak.
6 Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
A banvoei kut te ka lu hmui la a tloeng tih a bantang kut loh kai n'kop.
7 Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
Jerusalem nu rhoek nang te kan caeng coeng. Kohong kah sakhi rhuinu long khaw sayuk long khaw n'haeng boel saeh. Lungnah loh a ngaih duela haenghang boeh.
8 Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
Kai hlo ol tah tlang dong a poe, mol dong a buem tih ha pawk coeng he.
9 Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
Kamah hlo tah kirhang neh rhangrhaeh ca aka puet ni. Mah kah thoh hlip ah pai he ne, bangbuet lamloh m'hmaitang tih thohhuel lamloh khooi.
10 Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
Kamah hlo loh n'doo tih kai taengah, “Ka sakthen neh ka cangyaeh nang te thoo laeh, nang mah halo laeh,” a ti.
11 Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
Sikding, sikding a poeng atah khonal mael tih amah la cet coeng he.
12 Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
Diklai ah rhaipai phoe tih laa sak tue pai. Mah khohmuen ah vahu ol n'yaak coeng.
13 Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
Thaibu a haengkang te hminkhah coeng tih, misur thaihmoe loh hmuehmuei a yal coeng. Thoo laeh oe, ka sakthen neh ka cangyaeh nang te lo dae lamtah namah mah lo laeh.
14 Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
Ka vahui aw, thaelpang thaelrhaep ah khaw, longpoeng huephael ah khaw na mueimae te kai n'tueng lah. Na ol te tui tih na mueimae a rhoeprhui dongah na ol te ka yaak lah mako.
15 Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
Mah misurdum tah a thaihmoe dongah misurdum aka phae maetang, maetang ca rhoek te mah hamla tu sih.
16 Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
Kamah hlo tah kamah ham saeh lamtah kai khaw anih hamla tuilipai lakli ah ka luem.
17 Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.
Khothaih thoeng tih khokhawn a rhaelrham hil khaw mael laeh. Kai hlo nang loh tlang naeng kah kirhang neh rhangrhaeh ca khaw puet lah.

< Wimbo wa Sulemani 2 >