< Wimbo wa Sulemani 2 >

1 Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
Аз съм роза Саронова И долински крем.
2 Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Както е кремът между тръните; Така е любезната ми между дъщерите.
3 Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
Както ябълката между дърветата на сада, Така е възлюбеният ми между синовете; Пожелах сянката му и седнах под нея, И плодът му бе сладък в устата ми.
4 Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
Доведе ме в дома на пированието, И знамето му над мене бе любов.
5 Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Подкрепете ме с млинчета, разхладете ме с ябълки Защото съм ранена от любов.
6 Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Левицата му е под главата ми, И десницата му ме прегръща.
7 Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
Заклевам ви, ерусалимски дъщери В сърните и в полските елени. Да не възбудите и да не събудите любовта ми преди да пожелае.
8 Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
Гласът на възлюбления! ето, иде той, Скача по горите, играе по хълмовете.
9 Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
Възлюбеният ми прилича на сърна или на млад елен; Ето стои, зад стената ни, Гледа в прозорците, Надзърта през решетките.
10 Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
Проговаря възлюбленият ми и казва ми: Стани, любезна моя, прекрасна моя, и дойди;
11 Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
Защото, ето, зимата измина, И дъждът престана и отиде си;
12 Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
Цветята се явяват по земята, Времето на птичето пеене пристигна, И гласът на гургулицата се чува в нашата земя;
13 Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
По смоковницата зреят първите й смокини, И лозята цъфтят и издават благоухание. Стани, любезна моя; прекрасна моя, та дойди.
14 Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
О гълъбице моя, в пукнатините на скалата. В скришните места на стръмнините, Нека видя лицето ти, нека чуя гласа ти; Защото гласът ти е сладък, и лицето ти прекрасно.
15 Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
Хванете ни лисиците, Малките лисици, които погубват лозята; Защото лозята ни цъфтят.
16 Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
Възлюбленият ми е мой, и аз негова; Пасе стадото си между кремовете.
17 Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.
Догде повее дневния хладен ветрец и побягнат сенките, Върни се, вълюблени ми, и бъди като сърне Или млад елен по назъбените планини.

< Wimbo wa Sulemani 2 >