< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
غزل غزلها که از آن سلیمان است.۱
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
او مرا به بوسه های دهان خود ببوسد زیرا که محبت تو از شراب نیکوتر است.۲
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
عطرهای توبوی خوش دارد و اسم تو مثل عطر ریخته شده می‌باشد. بنابراین دوشیزگان، تو را دوست می‌دارند.۳
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
مرا بکش تا در عقب تو بدویم. پادشاه مرا به حجله های خود آورد. از تو وجد و شادی خواهیم کرد. محبت تو را از شراب زیاده ذکرخواهیم نمود. تو را از روی خلوص دوست می‌دارند.۴
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
‌ای دختران اورشلیم، من سیه فام اماجمیل هستم، مثل خیمه های قیدار و مانندپرده های سلیمان.۵
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
بر من نگاه نکنید چونکه سیه فام هستم، زیرا که آفتاب مرا سوخته است. پسران مادرم بر من خشم نموده، مرا ناطورتاکستانها ساختند، اما تاکستان خود را دیده بانی ننمودم.۶
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
‌ای حبیب جان من، مرا خبر ده که کجامی چرانی و در وقت ظهر گله را کجا می‌خوابانی؟ زیرا چرا نزد گله های رفیقانت مثل آواره گردم.۷
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
‌ای جمیل تر از زنان، اگر نمی دانی، در اثرگله‌ها بیرون رو و بزغاله هایت را نزد مسکن های شبانان بچران.۸
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
‌ای محبوبه من، تو را به اسبی که در ارابه فرعون باشد تشبیه داده‌ام.۹
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
رخسارهایت به جواهرها و گردنت به گردن بندها چه بسیار جمیل است.۱۰
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
زنجیرهای طلا با حبه های نقره برای توخواهیم ساخت.۱۱
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
چون پادشاه بر سفره خودمی نشیند، سنبل من بوی خود را می‌دهد.۱۲
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
محبوب من، مرا مثل طبله مر است که در میان پستانهای من می‌خوابد.۱۳
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
محبوب من، برایم مثل خوشه بان درباغهای عین جدی می‌باشد.۱۴
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
اینک تو زیباهستی‌ای محبوبه من، اینک تو زیبا هستی وچشمانت مثل چشمان کبوتر است.۱۵
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
اینک تو زیبا و شیرین هستی‌ای محبوب من و تخت ما هم سبز است.۱۶
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
تیرهای خانه ما از سرو آزاد است و سقف ما از چوب صنوبر.۱۷

< Wimbo wa Sulemani 1 >