< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of songs, which is Solomon’s.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Let him kiss me with the kisses of his mouth: for thy love is better than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Thine ointments have a goodly fragrance; thy name is [as] ointment poured forth; therefore do the virgins love thee.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Draw me; we will run after thee: the king hath brought me into his chambers: we will be glad and rejoice in thee, we will make mention of thy love more than of wine: rightly do they love thee.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I am black, but comely, O ye daughters of Jerusalem, as the tents of Kedar, as the curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Look not upon me, because I am swarthy, because the sun hath scorched me. My mother’s sons were incensed against me, they made me keeper of the vineyards; [but] mine own vineyard have I not kept.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell me, O thou whom my soul loveth, where thou feedest [thy flock], where thou makest [it] to rest at noon: for why should I be as one that is veiled beside the flocks of thy companions?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If thou know not, O thou fairest among women, go thy way forth by the footsteps of the flock, and feed thy kids beside the shepherds’ tents.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
I have compared thee, O my love, to a steed in Pharaoh’s chariots.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Thy cheeks are comely with plaits [of hair], thy neck with strings of jewels
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
We will make thee plaits of gold with studs of silver.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
While the king sat at his table, my spikenard sent forth its fragrance.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
My beloved is unto me [as] a bundle of myrrh, that lieth betwixt my breasts.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
My beloved is unto me [as] a cluster of henna-flowers in the vineyards of En-gedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Behold, thou art fair, my love; behold, thou art fair; thine eyes are [as] doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Behold, thou art fair, my beloved, yea, pleasant: also our couch is green.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The beams of our house are cedars, [and] our rafters are firs.

< Wimbo wa Sulemani 1 >