< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of songs, which is Solomon's.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Let him kiss me with the kisses of his mouth; for your love is better than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Your oils have a pleasing fragrance. Your name is oil poured forth, therefore the virgins love you.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Take me away with you. Let us hurry. The king has brought me into his chambers. We will be glad and rejoice in you. We will praise your love more than wine. They are right to love you.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I am dark, but lovely, you daughters of Jerusalem, like Kedar's tents, like Solomon's curtains.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Do not stare at me because I am dark, because the sun has scorched me. My mother's sons were angry with me. They made me keeper of the vineyards. I haven't kept my own vineyard.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell me, you whom my soul loves, where you graze your flock, where you rest them at noon; For why should I be as one who is veiled beside the flocks of your companions?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If you do not know, most beautiful among women, follow the tracks of the sheep. Graze your young goats beside the shepherds' tents.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
I have compared you, my love, to a steed in Pharaoh's chariots.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Your cheeks are beautiful with earrings, your neck with strings of jewels.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
We will make you earrings of gold, with studs of silver.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
While the king sat at his table, my perfume spread its fragrance.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
My beloved is to me a sachet of myrrh, that lies between my breasts.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
My beloved is to me a cluster of henna blossoms from the vineyards of En Gedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Look, you are beautiful, my love. Look, you are beautiful. Your eyes are doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Look, you are beautiful, my beloved, yes, pleasant; and our couch is verdant.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The beams of our house are cedars. Our rafters are firs.

< Wimbo wa Sulemani 1 >