< Ruth 3 >

1 Naomi, mama mkwe wake, alimwambia, “Mwanangu, hainilazimu kutafuta mahali pa wewe kupumzika, ili kwamba mambo yako yaende vizuri?
След това, свекърва й Ноемин й рече: Дъщерьо моя, да не потърся ли спокойствие за тебе та да благоденствуваш?
2 Naye Boazi, mtu ambaye umekuwa pamoja na wasichana wake wa kazi, yeye si jamaa yetu? Tazama, jioni hii atakuwa akikung'uta shairi katika sakafu ya kupuria.
И сега, не е ли от нашия род Вооз, с чиито момчета беше ти? Ето, тая нощ той вее ечемика на гумното.
3 Kwa hiyo, oga, jipake mafuta, uvae nguo zako nzuri, na ushuke kwenda kwenye sakafu ya kupuria. Lakini usijulikane kwa mtu huyu mpaka atakapo maliza kula na kunywa.
Умий се, прочее, и помажи се, и облечи се с дрехите си и слез на гумното; но да се не покажеш на човека, догде не е свършил яденето и пиенето си.
4 Na uhakikishe kuwa, atakapo lala chini, ukumbuke mahali alipo lala ili kwamba baadaye uende kwake, ufunue miguu yake, na ulale hapo. Kisha atakuambia cha kufanya.”
И като си ляга, забележи мястото гдето ляга, и иди та подигни покривката из към нозете му и легни; и той ще ти каже що трябва да направиш.
5 Ruth alimwambia Naomi, “Nitafanya kila kitu ulicho sema.”
А тя й рече: Всичко що ми каза, ще сторя.
6 Alishuka kwenda kwenye sakafu ya kupuria, na alifuata maelekezo aliyopewa na mama mkwe wake.
И тъй слезе на гумното, та стори всичко, що й заповяда свекърва й.
7 Boazi alipomaliza kula na kunywa na moyo wake ulikuwa na furaha, alienda kulala chini mwisho wa sehemu ya kuhifadhia nafaka. Kisha Ruth akaenda taratibu, akaaifunua miguu ya Boazi, na kulala hapo chini.
А Вооз, като яде и пи и сърцето му се развесели, отиде да си легне край купа ечемик; а тя дойде тихо та подигна покривката откъм нозете му и легна.
8 Panapo usiku wa manane Boazi alisituka. Akajigeuza, na hapo mwanamke alikuwa amelala katika miguu yake!
И около среднощ човекът се стресна и обърна; и ето жена лежеше при нозете му.
9 Akamwambia, “Wewe ni nani?” Akajibu, “Mimi ni Ruth, mtumishi wako wa kike. Nifunike shuka lako mimi mtumishi wako wa kike, kwa kuwa wewe ni jamaa wa karibu.”
И рече: Коя си ти? И тя отговори: Аз съм слугинята ти Рут; простри, прочее, полата си над слугинята си, защото си ми близък сродник.
10 Boazi akamwambia, “Mwanangu, Yahweh akubariki. Umeonyesha wema mwishoni kuliko mwazoni, kwa sababu hukwenda kwa wanaume vijana, awe tajiri au masikini.
А той каза: Благословена да си от Господа, дъщерьо; тая последна доброта, която се показала, е по-голяма от предишната, гдето ти не отиде след млади, били те сиромаси или богати.
11 Na sasa, mwanangu, usiogope! Nitakufanyia yote unayosema, kwa sababu mji wa watu wangu wote wanajua kuwa wewe ni mwanamke unayestahili.
И сега, дъщерьо, не се бой; аз ще сторя за тебе всичко що казваш; защото целият град на людете ми знае, че си добродетелна жена.
12 Nikweli kuwa mimi ni jamaa wa karibu; hata hivyo, kuna jamaa wa karibu kuliko mimi.
И сега, вярно е, че аз съм близък сродник; има обаче друг сродник по-близък от мене.
13 Baki hapa usiku huu, na asubuhi, ikiwa atafanya jukumu lake la jamaa wa karibu, vizuri, muache afanye jukumu lake la kindugu. lakini kama hata fanya jukumu la kindugu kwako, ndipo mimi nitafanya, kama Yahweh aishivyo. Lala mpaka asubuhi.”
Остани тая нощ и утре, ако иска той да изпълни към тебе длъжността на сродник, добре, нека я изпълни; но, ако не иска да изпълни към тебе длъжността на сродник, тогава заклевам се в живота на Господа, аз ще изпълня тая длъжност към тебе. Пренощувай тук.
14 Kwa hiyo Ruth alilala kwenye miguu ya Boazi hadi asubuhi. Lakini aliamka mapema kabla ya yeyote kuweza kumtambua mtu mwingine. Kwa kuwa alikwisha mwambia, “Isijulikane kuwa mwanamke alikuja kwenye sakafu ya kupuria.”
И тя лежа при нозете му до сутринта, и стана преди да може човек да разпознае човека, защото той рече: Нека не се знае, че жена е дохождала на гумното.
15 Kisha Boazi akamwambia, lete mtandio wako na uushikilie.” Alipo fanya hivyo, alipima vipimo vikubwa sita vya shairi katika mtandio na kumtwisha Ruth. Kisha Boazi akaenda mjini.
Рече още: Донеси покривалото, което е върху тебе, и дръж го. И като го държеше, той премери шест мери ечемик, та го натовари на нея; и тя си отиде в града.
16 Ruth aliporudi kwa mama mkwe wake, alisema, “Ulifanyaje, mwanangu?” Ndipo Ruth akamwambia mambo yote aliyotendewa na mtu huyo.
И като дойде при свекърва си, тя й каза: Що ти стана, дъщерьо моя. И тя й разправи всичко, що й стори човекът.
17 Alimwambia, “Hivi vipimo sita vya shairi ni vile alivyonipa yeye, kwa kuwa alisema, 'Usiende mikono mitupu kwa mama mkwe wako.'”
Каза още: Даде ми тия шест мери ечемик, защото ми рече: Да не идеш празна при свекърва си.
18 Kisha Naomi akasema, “Baki hapa, mwanangu, mpaka utakapojua yatakavyo kuwa, kwa kuwa Boazi hata pumzika mpaka atakapolimaliza jambo hili leo.”
А тя рече: Седни, дъщерьо моя, догде видиш как ще се свърши работата; защото човекът няма да се спре, докато не свърши работата още днес.

< Ruth 3 >