< Ruth 1 >

1 Ilitokea katika siku za utawala wa majaji kuwa kulikuwa na njaa katika nchi, na mtu mmoja wa Bethelehemu ya Yuda alikwenda katika nchi ya Moabu pamoja na mke wake na watoto wake walili wa kiume.
В Дните когато съдиите съдеха, настана глад на земята. И един човек от Витлеем Юдов отиде да престои в Моавската земя, той, и жена му, и двамата му сина.
2 Jina la mtu huyo lilikuwa Elimeleki, na jina la mke wake lilikuwa Naomi. Majina ya watoto wake wawili wa kiume waliitwa Mahiloni na Kileoni, ambao walikuwa Waefraimu wa Betherehemu ya Yuda. Waliwasili katika nchi ya Moabu na kuishi hapo.
Името на човека беше Елимелех, а името на жена му Ноемин, а имената на двамата му сина Маалон и Хелеон; те бяха ефратци от Витлеем Юдов. И дойдоха в Моавската земя и там останаха.
3 Ndipo Elimeleki, mume wa Naomi, alikufa, na Naomi aliachwa na watoto wake wa kiume wawili.
И Елимелех, мъжът на Ноемин, умря; и тя остана с двамата си сина.
4 Watoto hawa walioa wanawake wa Moabu; jina la mmoja lilikuwa Oripa, na jina la mwingine lilikuwa Ruth. waliishi huko kwa takribani miaka kumi.
И те си взеха жени моавки, на които името на едната беше Орфа, а името на другата Рут; и живяха там около десет години.
5 Kisha wote Mahiloni na Kileoni walikufa, na kumuacha Naomi bila mme wake na bila watoto wake wawili.
Тогава умряха Маалон и Хелеон, и двамата, тъй че жената се лиши от двамата си сина и от мъжа си.
6 Ndipo Naomi aliamua kuondoka Moabu pamoja na wake wa watoto wake na kurudi Yuda kwa sababu alikuwa amesikia katika mkoa wa Moabu kuwa Yahweh amewasaidia watu wake katika uhitaji na amewapa chakula.
След това тя стана със снахите си да се върне от Моавската земя, защото беше чула в Моавската земя, че Господ посетил людете Си и им дал хляб.
7 Hivyo aliondoka sehemu aliyokuwa pamoja na wake wa watoto wake wawili, walitelemka njia kurudi kwenye nchi ya Yuda.
И тъй, тя излезе от мястото, гдето беше, и двете и снахи с нея, и вървяха по пътя да се върнат в Юдовата земя.
8 Naomi aliwaambia wake wa watoto wake, “Nendeni, mrudi, kila mmoja wenu, kwenye nyumba ya mama yake. na Mungu aonyeshe wema juu yenu, kama mlivyo onyesha wema kwao waliokufa na kwangu.
Сетне Ноемин каза на двете си снахи: Идете, върнете се всяка в дома на майка си. Господ да постъпва с благост към вас, както вие постъпихте към умрелите и към мене.
9 Mungu awajalie ninyi kupata pumziko, kila mmoja wenu katika nyumba ya mme mwingine.” Kisha akawabusu, na wakapaza sauti zao na kulia.
Господ да ви даде да намерите спокойствие, всяка в дома на мъжа си. Тогава ги целуна; а те плакаха с висок глас.
10 Wakamwambia, “Hapana! tutarudi pamoja na wewe kwa watu wako.”
И рекоха й: Не, но с тебе ще се върнем при твоите люде.
11 Lakini Naomi alisema, “Rudini, wanangu! Kwa nini mtakwenda na mimi? Kwani bado nina watoto katika tumbo langu kwa ajili yenu, ili kwamba waje wawe waume zenu?
Но Ноемин каза: Върнете се, дъщери мои, защо да дойдете с мене? Имам ли още синове в утробата си, за да ви станат мъже?
12 Rudini, wanangu, nendeni katika njia zenu wenyewe, kwa kuwa mimi ni mzee sana kuwa na mme. Kama nikisema, 'Natumaini nipate mume usiku huu,' na kisha kuzaa watoto wakiume, kwa hiyo mnaweza kusubiri mpaka wakue?
Върнете се, дъщери мои, идете защото остарях и не съм вече за мъж. Ако бих рекла: Имам надежда; даже ако се омъжех тая нощ, па и родих синове,
13 Mtasubiri na msiolewe sasa? Hapana, wanangu! Ina nihuzunisha zaidi, kuliko inavyo wahuzunisha ninyi, kwa sababu mkono wa Yahweh umeenda kinyume na mimi.”
вие бихте ли ги чакали догде пораснат? Бихте ли се въздържали заради тях да се не омъжите? Не, дъщери мои; върнете се, понеже съм много огорчена заради вас, гдето Господната ръка се е простирала против мене.
14 Ndipo wake wa watoto wake wakapaza sauti zao na kulia tena. Oripa alimuaga kwa kumbusu, lakini Ruth aliendelea kubaki naye.
А като плакаха пак с висок глас, Орфа целуна свекърва си, а Рут се привърза при нея.
15 Naomi alisema, “sikiliza, mwenzako amerudi kwa watu wake na miungu yake. Ruri pamoja naye.”
Тогава рече Ноемин: Ето, етърва ти се върна при людете си и боговете си; върни се и ти подир етърва си.
16 lakini Ruth alisema, “Usiniache niondoke mbali nawe, kwa kuwa uendako, nitakwenda, utakapoishi, nitaishi; watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
А Рут каза: Не ме умолявай да те оставя и да не дойда подире ти; защото, гдето идеш ти, и аз ще ида, и гдето останеш и аз ще остана; твоите люде ще бъдат мои люде, и твоят Бог мой Бог;
17 Mahali utakapofia, nitafia hapo, na hapo nitazikwa. Yahweh aniwezeshe, na hata zaidi, ikiwa kuna chochote isipokuwa kifo kamwe hakiwezi kututenganisha.
гдето умреш ти, и аз ще умра, и там ще се погреба; така да ми направи Господ, да! и повече да притури, ако друго, освен смъртта, ме разлъчи от тебе.
18 Naomi alipoona kuwa Ruth alikuwa ameamua kwenda naye, aliacha kubishana naye.
И Ноемин, като видя, че тя настояваше да иде с нея, престана да й говори.
19 Hivyo wote wawili walisafiri mpaka walipofika mjini Bethelehemu. Kwa hiyo walipofika Bethlehemu, mji wote uliwafurahia, wanawake walisema, “Huyu ni Naomi?”
И тъй, двете вървяха докато дойдоха във Витлеем. И когато стигнаха във Витлеем, целият град се раздвижи поради тях; и жените думаха: Това ли е Ноемин?
20 Lakini aliwaambia, “Msiniite Naomi. Niiteni Mchungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
А тя им каза: Не ме наричайте Ноемин наричайте ме Мара защото Всесилният ме твърде огорчи.
21 Nilikwenda nikiwa nimejaa, lakini Yahweh kanirudisha nyumbani nikiwa sina wote. Hivyo kwa nini mnaniita Naomi, wakati mnaona Yahweh amenihukumu, kuwa Mwenyezi Mungu amenitaabisha?”
Пълна излязох; а Господ ме доведе празна. Защо ме наричате Ноемин, тъй като Господ е заявил против мене, и Всесилният ме е оскърбил?
22 Kwa hivyo Naomi na Ruth Mmoabu, mke wa mtoto wake, walirudi kutoka nchi ya Moabu. walirudi Bethrehemu mwazo wa mavuno ya shairi.
Така се върна Ноемин, и със снаха й Рут, моавката, която дойде от Моавската земя. Те стигнаха във Витлеем в началото на ечемичната жътва.

< Ruth 1 >