< Warumi 6 >

1 Tuseme nini basi? Tuendelee katika dhambi ili neema iongezeke?
Тогава какво? Да речем ли: Нека останем в греха, за да се умножи благодатта?
2 La hasha. Sisi tuliokufa katika dhambi, tunawezaje tena kuishi katika hiyo?
Да не бъде! Ние, които сме умрели към греха, как ще живеем вече в него?
3 Je hamjui ya kuwa wale waliobatizwa katika Kristo walibatizwa katika mauti yake?
Или не знаете, че ние всички, които се кръстихме да участвуваме в Исуса Христа, кръстихме се да участвуваме в смъртта Му?
4 Tulikuwa tumezikwa pamoja naye kupitia ubatizo katika kifo. Hii ilifanyika ili kwamba kama vile Kristo alivyoinuliwa kutoka mauti kupitia utukufu wa Baba, ili kwamba nasi tuweze kutembea katika upya wa maisha.
Затова, чрез кръщението ние се погребахме с Него да участвуваме в смърт, тъй щото, както Христос биде възкресен от мъртвите чрез славата на Отца, така и ние да ходим в нов живот.
5 Maana ikiwa tumeunganishwa pamoja naye katika mfano wa kifo chake, pia tutaunganishwa katika ufufuo wake.
Защото, ако сме се съединили с Него чрез смърт подобна на Неговата, ще се съединим и чрез възкресение, подобно на Неговото;
6 Sisi tunajua hivi, utu wetu wa zamani ulisulubiwa pamoja naye, ili kwamba mwili wa dhambi uharibiwe. Hii ilitokea ili kwamba tusiendelee kuwa watumwa wa dhambi.
като знаем това, че нашето старо естество бе разпнато с Него за да се унищожи тялото на греха, та да не робуваме вече не греха.
7 Yeye aliyekufa amefanywa mwenye haki kulingana na dhambi.
Защото, който е умрял, той е оправдан от греха.
8 Lakini kama tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pamoja naye pia.
Но ако сме умрели с Христа, вярваме, че ще и живеем с Него,
9 Tunajua kwamba Kristo amefufuliwa kutoka katika wafu, na kwamba si mfu tena. Kifo hakimtawali tena.
знаейки, че Христос, като биде възкресен от мъртвите, не умира вече; смъртта няма вече власт над Него.
10 Maana kwa habari ya kifo alichokufa kwa dhambi, alikufa mara moja kwa ajili ya wote. Hata hivyo, maisha anayoishi, anaishi kwa ajili ya Mungu.
Защото, смъртта, с която умря, Той умря за греха еднаж за винаги; а животът, който живее, живее го за Бога.
11 Kwa njia iyo hiyo, nanyi pia mnapaswa kujihesabu kuwa wafu katika dhambi, bali hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Така и вие считайте себе си за мъртви към греха, а живи към Бога в Христа Исуса.
12 Kwa sababu hiyo usiruhusu dhambi itawale mwili wako ili kusudi uweze kuzitii tamaa zake.
И тъй, да не царува грехът във вашето смъртно тяло, та да се покоряват на неговите страсти.
13 Usitoe sehemu za mwili wako katika dhambi kama vyombo visivyo na haki, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu, kama walio hai kutoka mautini. Na zitoeni sehemu za miili yenu kama vyombo vya haki kwa Mungu.
Нито представяйте телесните си части като оръдия на неправдата; но представяйте себе си на Бога като оживели от мъртвите, и телесните си части на Бога като оръдия на правдата.
14 Msiiruhusu dhambi iwatawale. Kwa kuwa hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Защото грехът няма да ви владее, понеже не сте под закон, а под благодат.
15 Nini basi? Tutende dhambi kwa kuwa hatupo chini ya sheria, bali chini ya neema? La hasha.
Тогава какво? Да грешим ли, защото не сме под закон, а под благодат? Да не бъде!
16 Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa wenyewe kama watumishi ndiye ambaye ninyi mnakuwa watumishi wake, yeye mnayepaswa kumtii? Hii ni kweli hata kama ninyi ni watumwa katika dhambi ambayo inapelekea mauti, au watumwa wa utii unaopelekea haki.
Не знаете ли, че комуто предавате себе си като послушни слуги, слуги сте на оня, комуто се покорявате, било на греха, който докарва смърт, или на послушанието, което докарва правда?
17 Lakini ashukuriwe Mungu! Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mmetii kutoka moyoni ile namna ya fundisho mliopewa.
Благодарение, обаче, Богу, че като бяхте слуги на греха, вие се покорихте от сърце на оня образец на вероучението, в който бяхте обучени,
18 Mmefanywa huru kutoka kwenye dhambi, na mmefanywa watumwa wa haki.
и, освободени от греха, станахте слуги на правдата.
19 Ninazungumza kama mtu kwa sababu ya madhaifu ya miili yenu. Kwa maana kama vile mlivyotoa viungo vya miili yenu kuwa watumwa kwa uchafu na uovu, kwa jinsi iyo hiyo, sasa toeni viungo vya miili yenu kuwa watumwa wa haki kwa utakaso.
(По човешки говоря поради немощта на вашето естество). Прочее, както предавахте телесните си части като слуги на нечистотата и на беззаконието, което докарва още беззаконие, така сега предайте частите си като слуги на правдата, която докарва светост.
20 Kwa kuwa mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Защото, когато бяхте слуги на греха не бяхте обуздавани от правдата.
21 Kwa wakati huo, mlikuwa na tunda lipi kwa mambo ambayo kwa sasa mnaona aibu kwayo? Kwa kuwa matokeo ya mambo hayo ni kifo.
Какъв плод имахте тогава от ония неща?
22 Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Но сега като се освободихте от греха, и станахте слуги на Бога, имате за плод това, че отивате към светост, на която истината е вечен живот. (aiōnios g166)
23 Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Защото заплатата на греха е смърт; а Божията дар е вечен живот в Христа Исуса, нашия Господ. (aiōnios g166)

< Warumi 6 >