< Warumi 12 >

1 Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
Etu karone, bhai khan, Isor laga daya dwara, nijor gaw to jinda thaka bolidan nisena dibole apnikhan ke anurodh kori ase, juntu pobitro hoi kene Isor pora bhal lagibo. Etu to apuni atma te aradhana kori ase.
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
Etu prithibi laga itcha te monjur na koribi, kintu poribortan pora mon notun bonai lobi. Eneka hoile, apuni nijor pora Isor laga itcha to ki ase, ki bhal ase, aru ki thik ase etu jani lobo. (aiōn g165)
3 Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
Moi koi ase, kelemane moike anugraha dise, etu pora sob logote koi ase, apnikhan majot te kun manu pora bhi nijor ki ase etu pora dangor bhabona na koribi, kintu nomro hoi kene nijorke Isor pora kiman biswas dise, etu hisab te bhabona kori thakibi.
4 Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
Kelemane kineka ekta gaw te alag-alag bisi bhag ase, aru bhag sob pora eke kaam nakore,
5 Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
etu nisena amikhan bisi hoilebi, Khrista te ekta gaw ase, aru sob manu ekjon-ekjon laga bhag ase.
6 Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
Kintu amikhan ke anugraha diya hisab te alag-alag bordan diya nisena, amikhan pora etu chola bo lage. Jodi ekjon ke bhabobani laga bordan dise, tai laga biswas hisab te chola bole dibi.
7 Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
Jodi sewa kora ase, titia sewa kora kaam te chola bhi, kunke sikhai diya laga bordan dise tai etu kaam te chola bhi.
8 Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
Jodi kunba laga bordan to manu khan laga mon uthai diya laga ase, tenehoile taikhan laga mon uthai di thakibi. Jodi kunba laga bordan to di thaka laga ase, taike di thakibo dibi. Jodi kunba laga bordan to cholawta laga ase, taike hoshiar pora koribo dibi. Jodi kunba laga bordan to daya dikhai diya laga ase, taike khushi pora koribo dibi.
9 Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
Morom to misa hobo nadibi. Ki biya ase etu ke ghin koribi; ki bhal ase etu ke dhuri lobi.
10 Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
Ekjon pora ekjon ke bhai khan ke morom kora nisena kori bhi. Ekjon pora ekjon ke bisi sonman koribi.
11 Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
Mon itcha laga kaam te alsi na koribi, atma te mojbut thakibi, aru Probhu ke sewa koribi.
12 Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
Asha te anond koribi, dukh te dhorjo koribi, aru prathana te hodai thakibi.
13 Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
Pobitro manu khan karone dhun joma kori dibi aru modot kori bole bisaribi.
14 Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
Kun pora dukh kosto di ase taikhan nimite asirbad dibi; kun pora shrap di ase, taikhan ke asirbad dibi.
15 Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
Kun manu khushi hoi kene ase, taikhan logote khushi koribi, kanda khan logote kandibi.
16 Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
Ekjon pora ekjon logote mil milap kori thakibi. Phutani na koribi, kintu nomro khan logote mili thakibi. Kitia bhi bisi jana nisena phutani na koribi.
17 Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
Kunke bhi biya bodli biya nadibi, kintu sob manu age te ki sonman ase etu he kori bole bhabona koribi.
18 Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
Jodi parile apuni laga takot hisab te sob logote shanti te thakibi.
19 Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
Moi bisi morom kora bhai khan, kunke bhi biya bodli biya naghurabi, kintu Isor laga khong nimite chari dibi. Kelemane eneka likha ase “‘Bodli ghurai diya moi laga ase; moi ghurai dibo,’ eneka Probhu he koi ase.”
20 “Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
“Jodi apuni laga dushman bhuk lagi ase, khabole dibi. Jodi tai pyaas lagi ase, taike pani khabole dibi. Kelemane eneka kora pora apuni tai laga matha te jui julai diya nisena ase.”
21 Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.
Biya pora jiti bole nadibi, kintu bhal pora he biya ke jiti lobi.

< Warumi 12 >