< Warumi 12 >

1 Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
In anime ni henu in zinu iko ushi barki ubardang immum iriri ya sere, wito ine ace ashime udenge wa sere barki ine ini biyau bihuma.
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
Kati itarsi uganiya ugeme su zi ichiki iriba icukuno wasi isan zi muruba mu shine vat, vat barki ibezi imum be sa Asere anyara, imum iriri sa madi kabi. (aiōn g165)
3 Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
Usuro imumu iriri sa awuzani ni in nya vat uru tise, kati ma ziki ni ce nume uzina sa in zi, cah marusi in nice nume, ubinani uhem sa Asere anyame.
4 Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
Kasi tihihira gbardang tigati ani pum ni indai, tihihira tiginome katuma ka indaime kani.
5 Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
Ane ani haru me, ko sa ti ori, ni pum ni gafi nan vana Asere, vat uru tihihira ta ce-ce tini.
6 Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
Vat uru mazin ni imube sa Asere anyame inki sere a nyarawe in nu buka u ni ca ubuki ini kara nuwe sa wa hem ni.
7 Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
Inki utarsa in nanu, utarsi meme rum, unu dungara utize ta Sere tini a ma dungara.
8 Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
Unu bura umuruba ma cukuno ahira ubara umuruba mume, unu bengizi amanyaga tap, unu tarsa ina nu ama tarsi unu rusa abanga una katuma ku gugguni amawuzi ini iruba irum.
9 Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
Caa uhem in nacece ucukuno sarki uhira acece. Kati iwuzi imum iburi ba, inko ni muriba ihra imum be sa irizi.
10 Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
Abanga uhem uni henu, hem ini cece kang, inya acece tinanu.
11 Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
I cukuno anu umokoro, kati i cukuno cancan ba. Abanga abibe biriri soki ni nice nin. Nonzo nin ugomo Asere.
12 Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
Wuza nin iriba irum barki nikara niriba sa izini abanga aje ashi me. Natta nin muriba mushi ahira ijasi me izini usiza me. Cukuno nin ana biringira sarki umarsa.
13 Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
Benki nin nihenubanyimo ijasi nacece. Kaba nin nihenu.
14 Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
Rigirka nin andesa wa yomo shi, kati iwu we, wuza ni we biringira bati Asere ma kpici we.
15 Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
Wuza nin iriba iru nan andesa wa zin iniriba irum, ikuri iwuzi iriba ibit nan andesa wazin imuriba mubit.
16 Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
I cukuno ni huma nan nihenu. Kati ibezi ace ashi me anu rusa wani.
17 Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
Kati igarza imum iburi nan imum iburi, Wuza imum me sa anabu wadibwadi iri tinanu tishi me.
18 Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
Wuza nin imum me sa idi wu icukuno merum nan nihenu.
19 Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
Kati igarza imum iburi ahira imum iburi ba, wuza nin ticukum kati irizi anyimo iriba izenze yasere, amu nyertike aguna “ugarsa imum iburi ura atari ti ugomo Asere tini.”
20 “Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
Barki ani me, inki aroni ishina iweme ma kunna ikomo, nya we imum ya re, inki wa kunna niwe ni mei nya we mei wa si. Inki wa wuza ani, uzini urso uwe a'ne ura ani ce ani.
21 Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.
Kati iceki iwuza imum iburi ihunguko muriba mushi me, barki ca iwuza imum iriri icukuno amuriba mushi me.

< Warumi 12 >