< Warumi 12 >

1 Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
Amaiba: le, na fi dunu! Gode da dilima udigili gogolema: ne olofosu baligiliwane olelebeba: le, na da dilima ha: giwane sia: sa. Dilia da: i hodo amo Godema gobele salawane esaloma! Dilia da: i hodo amo Gode Hi fawane Ea hawa: hamomusa: gini amola E hahawane ba: ma: ne, Ema ima. Amo da Godema nodone sia: ne gadosu houdafa.
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
Dilia osobo bagade dunu ilia hou defele mae hamoma! Be Gode da dilia asigi dawa: su bu afadenene moloidafa hamomusa: hanaiba: le, amo E hamoma: ne, dilia logo fodoma. Amasea, dilia da Gode Ea hanai asigi dawa: su dawa: mu. Dilia da hou moloidafa amola hou amo Gode da hahawane ba: sa, amo noga: le dawa: mu. (aiōn g165)
3 Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
Gode da nama hahawane dogolegele iasu ia dagoiba: le, na da dili huluanema amane sia: sa; Dilia dogo ganodini, dilia da gasa hameba: le, dilisu “Na da gasa fi dunu,” amo hidale sia: mu da defea hame galebe. Be dilia asigi dawa: su ganodini, dilia hou fonobone, dilia dafawaneyale dawa: su hou Gode da dilima i amo defele, dilisu dilia hou fofada: ma.
4 Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
Ninia da: i hodo amo ganodini da liligi bagohame diala. Ilia huluane hawa: hamosu hisu hisu hamosa.
5 Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
Amo hou defele, ninia Yesu Gelesu Ea fa: no bobogesu dunu da bagohame esala. Be ninia Yesu Gelesuma madelagiba: le, fedege agoane da: i hodo afadafa hamoi, amola ninia da dunu eno dunu eno ilima da: i hodo ea liligi agoane madelagi.
6 Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
Amaiba: le, Gode da ninima hawa: hamomusa: a:silibu iasu afae afae ia dagoiba: le, ninia da Ea iasu hisu hisu, Ea ninima asigi hou defele, amoga hawa: hamomu da defea. E da ninima Gode Ea Sia: olelema: ne iasu ia dagoi galea, ninia da dafawaneyale dawa: su hou (amo Hi fawane da ninima i) amo defele olelemu da defea.
7 Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
Gode da ninima dunu eno fidima: ne iasu hou ia dagoi galea, ninia dunu eno fidimu da defea. Dunu enoma olelesu hou iasu lai dagoi galea, ninia eno dunuma olelemu da defea.
8 Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
Ninia dunu enoma ilia dogo denesisu hou iasu lai dagoi galea, amo hou hamomu da defea. Nowa dunu e da eno dunuma ha: i manu o muni imunusa: dawa: sea, e da mae hihini bagadewane imunu da defea. Nowa dunu da eno dunuma ouligisu hawa: hamosea, e amola da gasa bagade ouligisu hawa: hamomu da defea. Eno dunuma asigili fidisu hou olelesea, hahawane mae da: i dioiwane hamoma: mu.
9 Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
Dabua asigi hou yolesili, eno dunuma moloidafa asigi hou fawane asigima. Wadela: i hou dilia higama. Be hou noga: idafa gagulaligima.
10 Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
Dilia da Yesu Gelesu Ea fi afadafa hamoiba: le, dogolegeiwane dunu eno dunu enoma asigimu da defea. Dilia dunu eno mimogo ilima asigi defele eno dunuma asigima.
11 Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
Dilia mae hihini, gasa bagadewane hawa: hamoma. Dilia Hina Godema asigi bagadeba: le, Ema hahawane hawa: hamoma.
12 Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
Dilia da hobea dafawane hamoma: beyale dawa: lusu lai dagoiba: le, eso huluane hahawane esaloma! Se nabasea, mae da: i dione, gebewane esaloma! Eso huluane Godema sia: ne gadolaloma!
13 Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu da hame gagui agoane galea, defea, dilia liligi mogili ilima ima. Degabo ga misi dunu, amo dilia diasu ganodini aowama.
14 Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
Dilima se iasu dunu, amo Gode da ilima hahawane ima: ne, Ema sia: ne gadoma. Dafawane! E da ilima gagabusu mae aligima: ne sia: ne, ilima hahawane ima: ne Ema adole ba: ma!
15 Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
Dunu eno da hahawane ba: sea, dilia amola gilisili hahawane ba: ma. Dunu eno da se nababeba: le disia, dilia amola gilisili dima.
16 Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
Dunu huluanedafa defele, ilima asigi hou hamoma! Gasa fi hou mae hamone, fonoboi dunu ilima na: iyado hamoma. Amola fonoboi hawa: hamosu hahawane hamoma! Dilia da hidale dawa: su bagade lai dagoi, mae dawa: ma.
17 Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
Dunu da dima wadela: i hou hamoi galea, ema wadela: i hou eno mae dabema. Dunu huluane ilia da hou amo da noga: i dawa: sa, amo hou hamomusa: gini, logo hogoi helema.
18 Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
Dilia amola eno dunu da gilisili olofoiwane esaloma: ne, dilia amo logo hogoi helema.
19 Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
Na na: iyado! Dunu da dilima wadela: le hamosea, maedafa dabema. Be amo hou yolesili, Gode da dabe ilima ima: ne, ouesaloma! Bai Gode Sia: da agoane dedei diala, “Na fawane da dabemu. Na da dabe imunu, Hina Gode da amane sia: sa.”
20 “Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
Be dabe hou yolesili, Gode Sia: Dedei defele hamoma. Sia: da amane dedei diala, “Dia ha lai dunu da ha: i galea, ema ha: i manu ima. E da hano hanai galea, ema hano dili moma: ne ima. Di agoane hamosea, ea gogosiasu da laluga diabe agoai ba: mu.”
21 Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.
Wadela: i hou da dili hasalasa: besa: le, noga: le leloma! Be dilia hou noga: idafa amoga wadela: i hou hasalasima!

< Warumi 12 >