< Ufunuo 3 >

1 Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
Ku mutangunishi wa mubungano wa ku Saladisi komulembeleti, “Uwu ni mulumbe ulambwanga ne uyo ukute kwendelesha Mishimu isanu ne ibili ya Lesa, kayi ne nyenyenshi shisanu ne shibili. Ndishinshi incito shakobe, nambi bantu balambangeti omuyumi, nomba obe wafwa.”
2 Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
Ndacaneti buyumi bwenu nkabwashikapo pa mwelo ngwalayandanga Lesa. Neco punduka mu tulo twakobe, yuminisha ico ncokute kacitana cifwililila.
3 Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
Anuka ciyisho ncewalatambula, kayi ncewalanyumfwa. usunge shiya bwipishi bwakobe. Na ubule kupunduka, ndakesangeti kabwalala, nteti ukenshibe cindi nceti nkese.
4 Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
Nomba nkobali bang'ana uko ku Saladisi babula kusafwanya minjila yabo, nibakende ne njame kabali bafwala minjila ituba tuu, pakwinga cabelela.
5 Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
Abo beti bakakome bwipishi nibakafwale minjila ituba mbuli ili. Nteti nkafunyemo maina abo mu libuku lya buyumi. Ndakemananga pamenso a Bata ne bangelo ninkambeti, aba nibakame.
6 Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
“Uyo ukute matwi anyumfwe cilambanga Mushimu Uswepa ku mibungano!”
7 “Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
Ku mutangunishi wa mubungano wa ku Filadelufiya komulembeleti, “Uwu ni mulumbe ulafumunga ku muntu waswepa kayi wa ncine ncine, uyo ukute cakucalwisha mbuli ncalikukute mwami Dafeti, na lacalulu cishinga paliya wela kucicala sobwe, kayi na lacicala paliya wela kucicalula.
8 Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
Incito shakobe ndishinshi, ndicinsheti ukute ngofu shing'ana. Ulakonkonga ciyisho cakame, kayi washomeka kuli njame. Ndacalula cishinga pantangu pakobe paliya wela kucicala sobwe.”
9 Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
Konyumfwa! Pali bantu bali kulubasu lwa Satana, balalibepengeti ni Bayuda kakuli ntebo Bayuda, ninkalengesheti bakese bakasuntame mulimfwa lyakobe. Mpweshi bakenshibeti ndikusuni.
10 Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
Pakwinga ulapitilishi kunyumfwila milawo yakame kwakubula kubwelela kunyuma, ne njame ninkakucingilishe mu cindi ca mapensho alesanga kwisa kusunka bantu bonse pa cishi capanshi.
11 Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
Ndesanga lino lino. Ikatisha ca makasa abili ico ncokute kwambeti kapataba muntu eti akunyongomone cilambo.
12 Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
Uliyense eshi akakome nakabe ntabo mu Ng'anda ya Lesa wakame, nteti bakafumemo. Ninkalembe lina lya Lesa wakame ne lya Yelusalemu wa lino lino uyo lakaselukunga kwilu kuli Lesa. Kayi nenjame ninkalembe lina lyakame lya lino lino palyendibo.
13 Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
“Ukute matwi anyumfwe cilambanga Mushimu Uswepa ku mibungano!”
14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
Kuli mutangunishi wa mubungano wa ku Laodikaya komulembeleti, “Uwu e mulumbe ulafumunga kuli uyo ukute kukwiweti, Ameni, kamboni washomeka kayi wa ncine ncine, citente ca byonse byalalengwa ne Lesa.
15 Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
Ndicinshi ncolenshinga pakwinga ndicinsheti nkowatontola nambi kulungula, nsombi ndayandishishanga kwambeti ucanike ku lubasu lumo!
16 Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
Nomba pakwinga wakasala nkowalungula nambi kutontola, nindikusanke!”
17 Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
Ha! ulambangeti, omubile ntobe mupenshi, ukute byonse. Nomba ukute malele, omukandu kayi ukute kupesha nkumbo, uli matakosha kayi washipilwa.
18 Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
Leka ndikupeko mano, kwesa uleko golide waswepa kuli njame kwambeti ube mubile. Kayi wise uleko cikwisa cituba nceti ufwalenga kwambeti kotaboneshanga matakosha eshikupesha nsoni. Kayi wise uleko mafuta akunana ku menso kwambeti ubonenga cena.
19 Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
Nkute kukansa nekupa cisubulo bantu mbonsuni. Neco, koba wakangwabu leka bwipishi.
20 Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
Konyumfwa! Ndemana pa cishinga ndakonkoshunga, uliyense lanyumfunga maswi akame ne kucalulako, ninkengile mung'anda ne kuya kulya pamo nendiye, neye nakalye pamo nenjame
21 Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
Abo beti bakakome ninkabasuminishe kwambeti nabo bekale pa bipuna bya bulemu bili pambali pa cipuna cakame cabwendeleshi, mbuli ne njame ncendekala pa cipuna cabwendeleshi cili pambali pa cipuna ca bulemu ca Bata pakwinga ndalakoma.
22 Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”
“Ukute matwi anyumfwe cilambanga Mushimu Uswepa ku mibungano!”

< Ufunuo 3 >