< Ufunuo 3 >

1 Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
In angelu občine v Sardih piši: To pravi on, ki ima sedmero duhov Božjih in zvezd sedmero: Vem dela tvoja, da imaš ime, da živiš, in si mrtev.
2 Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
Zbúdi se in utrdi drugo, ki umira: kajti del tvojih nisem našel popolnjenih pred Bogom.
3 Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
Spominjaj se torej, kako si prejel in slišal, in hrani in izpokóri se. Ako se torej ne zbudiš, pridem k tebi kakor tat, in vedel ne hodeš, o kateri uri pridem k tebi.
4 Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
Imaš malo imén tudi v Sardih, katera niso oskrunila svojih oblék; in hodili bodo z menoj v belih, ker so vredni.
5 Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
Kdor premaga, ta bode oblekel bele obleke; in izbrisal ne bodem imena njegovega iz knjige življenja, in spoznal bodem ime njegovo pred očetom svojim in pred angeli njegovimi.
6 Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori občinam.
7 “Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
In angelu občine v Filadelfiji piši: To pravi sveti, resnični, on ki ima "ključ Davidov, kateri odpira, in nihče ne zapre, in zapira, in nihče ne odpre."
8 Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
Vem dela tvoja. Glej, dal sem pred te duri odprte, in nihče jih ne more zapreti; ker majhno imaš moč in hranil si besedo mojo, in zatajil nisi mojega imena.
9 Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
Glej, dam iz zbornice satanove njé, ki pravijo, da so Judje, a niso, nego lažejo; glej, storil bodem, da pridejo in pokleknejo pred noge tvoje, in spoznajo, da sem te jaz ljubil.
10 Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
Ker si ohranil stanovitnosti moje besedo, ohranil te bodem tudi jaz iz ure izkušnjave, katera ima priti na vesoljni svet, izkušat nje, ki prebivajo na zemlji.
11 Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
Glej, hitro pridem; hrani, kar imaš, da nihče ne vzame tvojega venca.
12 Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
Kdor premaga, naredim ga za steber v svetiščih Boga svojega, in ven več ne izide, in zapišem nanj ime Boga svojega in ime mesta Boga svojega, novega Jeruzalema, kateri z neba shaja od Boga mojega, in ime moje novo.
13 Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori občinam.
14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
In angelu občine Laodicejske piši: To pravi on, ki je amen, priča zvesta in resnična, začetek stvarjenja Božjega:
15 Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
Vem dela tvoja, da nisi ne mrzel ne vroč; da bi bil mrzel ali vroč!
16 Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
Tako, ker si mlačen in ne mrzel ne vroč, bodem te izpljunil iz svojih ust.
17 Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
Ker praviš: Bogat sem in obogatel sem, in ničesa ne potrebujem, in ne veš, da tí si ubogi in nesrečni in siromaški in slepi in nagi;
18 Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
Svetujem ti, da kupiš od mene zlatá očiščenega v ognji, da obogatiš; in oblačila bela, da jih oblečeš, in da se ne pokaže sramota nagosti tvoje; in z mazilom pomaži oči svoje, da bodeš videl.
19 Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
Jaz katere ljubim, kaznujem in pokorim; prizadevaj si torej in izpokori se.
20 Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
Glej, pred vrati stojim in trkam; če kdo čuje glas moj in odpre vrata, vnidem k njemu, in večerjal bodem z njim in on z menoj.
21 Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
Kdor premaga, dal mu bodem, da sedí z menoj na prestolu mojem, kakor sem tudi jaz premagal in sedel z očetom svojim na prestol njegov.
22 Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori občinam.

< Ufunuo 3 >