< Ufunuo 3 >

1 Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
И Ангелу Сардийския церкве напиши: тако глаголет Имеяй седмь духов Божиих и седмь звезд: вем твоя дела, яко имя имаши яко жив, а мертв еси.
2 Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
Буди бдя и утверждая прочая, имже умрети: не обретох бо дел твоих скончаных пред Богом (твоим).
3 Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
Поминай убо, како приял еси и слышал еси, и соблюдай и покайся. Аще убо не бдиши, прииду на тя яко тать, и не имаши почути, в кий час прииду на тя.
4 Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
Но имаши мало имен и в Сардии, иже не оскверниша риз своих, и ходити имут со Мною в белых, яко достойни суть.
5 Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
Побеждаяй, той облечется в ризы белыя, и не имам отмыти имене его от книг животных, и исповем имя его пред Отцем Моим и пред Ангелы Его.
6 Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
Имеяй ухо да слышит, что Дух глаголет церквам.
7 “Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
И Ангелу Филаделфийския церкве напиши: тако глаголет Святый Истинный, имеяй ключь Давидов, отверзаяй, и никтоже затворит, затворяяй, и никтоже отверзет:
8 Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
вем твоя дела: се, дах пред тобою двери отверсты, и никтоже может затворити их: яко малу имаши силу, и соблюл еси Мое слово, и не отверглся еси имене Моего.
9 Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
Се, даю от сонмища сатанина глаголющыяся быти Иудеи, и не суть, но лгут: се, сотворю их, да приидут и поклонятся пред ногама твоима, и уразумеют, яко Аз возлюбих тя.
10 Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
Яко соблюл еси слово терпения Моего, и Аз тя соблюду от годины искушения, хотящия приити на всю вселенную искусити живущыя на земли.
11 Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
Се, гряду скоро: держи, еже имаши, да никтоже приимет венца твоего.
12 Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
Побеждающаго сотворю столпа в церкви Бога Моего, и боле не имать изыти ктому: и напишу на нем имя Бога Моего и имя града Бога Моего, новаго Иерусалима, сходящаго с небес от Бога Моего, и имя Мое новое.
13 Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
Имеяй ухо да слышит, что Дух глаголет церквам.
14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
И Ангелу Лаодикийския церкве напиши: тако глаголет Аминь, свидетель верный и истинный, начаток создания Божия:
15 Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
вем твоя дела, яко ни студен еси ни тепл: не да студен бы был ни тепл.
16 Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
Тако, яко обуморен еси, и ни тепл ни студен, изблевати тя от уст Моих имам.
17 Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
Зане глаголеши, яко богат есмь и обогатихся и ничтоже требую: и не веси, яко ты еси окаянен и беден, и нищь и слеп и наг.
18 Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
Совещаю тебе купити от Мене злато разжжено огнем, да обогатишися, и одеяние бело, да облечешися, и да не явится срамота наготы твоея: и коллурием помажи очи твои, да видиши.
19 Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
Аз, ихже аще люблю, обличаю и наказую. Ревнуй убо и покайся.
20 Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
Се, стою при дверех и толку: аще кто услышит глас Мой и отверзет двери, вниду к нему и вечеряю с ним, и той со Мною.
21 Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
Побеждающему дам сести со Мною на престоле Моем, якоже и Аз победих и седох со Отцем Моим на престоле Его.
22 Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”
Имеяй ухо да слышит, что Дух глаголет церквам.

< Ufunuo 3 >