< Ufunuo 3 >

1 Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
aparaM sArddisthasamite rdUtaM pratIdaM likha, yo jana Izvarasya saptAtmanaH sapta tArAzca dhArayati sa eva bhASate, tava kriyA mama gocarAH, tvaM jIvadAkhyo 'si tathApi mRto 'si tadapi jAnAmi|
2 Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
prabuddho bhava, avaziSTaM yadyat mRtakalpaM tadapi sabalIkuru yata Izvarasya sAkSAt tava karmmANi na siddhAnIti pramANaM mayA prAptaM|
3 Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
ataH kIdRzIM zikSAM labdhavAn zrutavAzcAsi tat smaran tAM pAlaya svamanaH parivarttaya ca| cet prabuddho na bhavestarhyahaM stena iva tava samIpam upasthAsyAmi kiJca kasmin daNDe upasthAsyAmi tanna jJAsyasi|
4 Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
tathApi yaiH svavAsAMsi na kalaGkitAni tAdRzAH katipayalokAH sArddinagare 'pi tava vidyante te zubhraparicchadai rmama saGge gamanAgamane kariSyanti yataste yogyAH|
5 Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
yo jano jayati sa zubhraparicchadaM paridhApayiSyante, ahaJca jIvanagranthAt tasya nAma nAntardhApayiSyAmi kintu matpituH sAkSAt tasya dUtAnAM sAkSAcca tasya nAma svIkariSyAmi|
6 Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
yasya zrotraM vidyate sa samitIH pratyucyamAnAm AtmanaH kathAM zRNotu|
7 “Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
aparaJca philAdilphiyAsthasamite rdUtaM pratIdaM likha, yaH pavitraH satyamayazcAsti dAyUdaH kuJjikAM dhArayati ca yena mocite 'paraH ko'pi na ruNaddhi ruddhe cAparaH ko'pi na mocayati sa eva bhASate|
8 Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
tava kriyA mama gocarAH pazya tava samIpe 'haM muktaM dvAraM sthApitavAn tat kenApi roddhuM na zakyate yatastavAlpaM balamAste tathApi tvaM mama vAkyaM pAlitavAn mama nAmno 'svIkAraM na kRtavAMzca|
9 Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
pazya yihUdIyA na santo ye mRSAvAdinaH svAn yihUdIyAn vadanti teSAM zayatAnasamAjIyAnAM kAMzcid aham AneSyAmi pazya te madAjJAta Agatya tava caraNayoH praNaMsyanti tvaJca mama priyo 'sIti jJAsyanti|
10 Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
tvaM mama sahiSNutAsUcakaM vAkyaM rakSitavAnasi tatkAraNAt pRthivInivAsinAM parIkSArthaM kRtsnaM jagad yenAgAmiparIkSAdinenAkramiSyate tasmAd ahamapi tvAM rakSiSyAmi|
11 Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
pazya mayA zIghram AgantavyaM tava yadasti tat dhAraya ko 'pi tava kirITaM nApaharatu|
12 Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
yo jano jayati tamahaM madIyezvarasya mandire stambhaM kRtvA sthApayisyAmi sa puna rna nirgamiSyati| aparaJca tasmin madIyezvarasya nAma madIyezvarasya puryyA api nAma arthato yA navInA yirUzAnam purI svargAt madIyezvarasya samIpAd avarokSyati tasyA nAma mamApi nUtanaM nAma lekhiSyAmi|
13 Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
yasya zrotraM vidyate sa samitIH pratyucyamAnAm AtmanaH kathAM zRNotu|
14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
aparaJca lAyadikeyAsthasamite rdUtaM pratIdaM likha, ya Amen arthato vizvAsyaH satyamayazca sAkSI, Izvarasya sRSTerAdizcAsti sa eva bhASate|
15 Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
tava kriyA mama gocarAH tvaM zIto nAsi tapto 'pi nAsIti jAnAmi|
16 Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
tava zItatvaM taptatvaM vA varaM bhavet, zIto na bhUtvA tapto 'pi na bhUtvA tvamevambhUtaH kadUSNo 'si tatkAraNAd ahaM svamukhAt tvAm udvamiSyAmi|
17 Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
ahaM dhanI samRddhazcAsmi mama kasyApyabhAvo na bhavatIti tvaM vadasi kintu tvameva duHkhArtto durgato daridro 'ndho nagnazcAsi tat tvayA nAvagamyate|
18 Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
tvaM yad dhanI bhavestadarthaM matto vahnau tApitaM suvarNaM krINIhi nagnatvAt tava lajjA yanna prakAzeta tadarthaM paridhAnAya mattaH zubhravAsAMsi krINIhi yacca tava dRSTiH prasannA bhavet tadarthaM cakSurlepanAyAJjanaM mattaH krINIhIti mama mantraNA|
19 Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
yeSvahaM prIye tAn sarvvAn bhartsayAmi zAsmi ca, atastvam udyamaM vidhAya manaH parivarttaya|
20 Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
pazyAhaM dvAri tiSThan tad Ahanmi yadi kazcit mama ravaM zrutvA dvAraM mocayati tarhyahaM tasya sannidhiM pravizya tena sArddhaM bhokSye so 'pi mayA sArddhaM bhokSyate|
21 Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
aparamahaM yathA jitavAn mama pitrA ca saha tasya siMhAsana upaviSTazcAsmi, tathA yo jano jayati tamahaM mayA sArddhaM matsiMhAsana upavezayiSyAmi|
22 Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”
yasya zrotraM vidyate sa samitIH pratyucyamAnam AtmanaH kathAM zRNotu|

< Ufunuo 3 >