< Ufunuo 3 >

1 Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
Uñolele Iñiloi lye Keleke ya Sardis: Aa njimanzwi ozo yokwatilile inhuho za Ireeza zikwana iyaza ni zobele ni inkazi zikwana iyanza ni zobele. “Nizi zimubapangi. Mwina intohonolo kusihala, kono mufwile.
2 Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
Mubuke imi mutondele chishalile, kono nangati chikufwile, chokuti kena nibawani misebelezo yenu ishiyeme mumenso ya Ireeza wangu.
3 Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
Muzeze, chobulyo, izo zimubatambuli ni kuzuwa. Muzikuteke, ni kubaka, Kono haiba kamutondete, Kanikeze sina ubumusa, imi kese nimwizibe ni haiba ihola yete ninikeze kwenu nini misandukile.
4 Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
Kono kwina mazina alikene abantu ba Sardis abo basena baba izuzi zizwato zabo masila. Kabaka buyenda name, nibazwete zituba, kakuti baswanela.
5 Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
Uzo yokoma kazwatikwe muzizabalo zituba, imi kanikafwe kusinda izina lyakwe mwi Mbuka ya Buhalo, imi kanikawambe izina likwe habuzu bwa Tayo, ni habuzu mbwa mañiloi akwe.
6 Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
Musiye abo bena matwi bazuwe chiwambwa Luhuho Kwi Keleke.
7 “Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
Uñolele iñiloi lye Keleke ya Philadelphia: Aa njimanzwi ozo yo njolola ni buniti —ukwatilile inkiyi za Davida, wi yalwila imi kakwina wiyala, heyala imi kakusina wiyala.
8 Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
“Nizi zimubapangi. Mubone, Nibabiki habusu bwene mulyango wiyalukite kutendela kuti kakwina yowola kuwiyala. Nizi kuti mwina intumelo zifokola, chokuti mubazumini manzwi imi kena mubakani izina lyangu.
9 Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
Mubone! Abo bahala mumubuso wa Satani, ano bachokuti Majuda abo nibasali njimona, bachenga chobulyo. Kanibalete imi kabakubame habusu bwamatende enu, imi kabezibe kuti niba misuni.
10 Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
Sina hamubawoli kubeka intaelo ya kulindila inako inde, kaniwole kumisileleza kwinako ya kulikiwa kukeza mwifasi.
11 Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
Nikezite lyahahanu. Mukwatlile kuzi mukwete sanzi kuwaniki yohinda mishukwe yenu.
12 Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
Munibike uzo chatakome kuba mushukwe mukeleke ya Ireeza, imi kakafwe kuzwa mwateni. Kaniwole kuñola hali izina lya Ireeza wangu, izina lya muleneñi wa Ireeza wangu(Jerusalema inhya, kuzwililila kwe Ireeza wangu), ni zina lyangu inhya.
13 Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
Musiye abo bena matwi akuzuwa chiluwamba Luhuho kwi Keleke.””
14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
Kumañiloi ekeleke ya Laodisea ñole: Aa njimanzwi a Amen, bupaki busepahala ni bweniti, buyendisa zibumbantu ze Ireeza.
15 Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
Nizi zimubachiti, nikuti kamutotoli kapa kuhisa. Nilakaza kuti kambe mutotola kapa kuhisa.
16 Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
Imi linu, kakuli mutukuta —kapa kuhisa kapa kutotola —Chinina hafuhi kuti nimiluke kumuzwisa mukaholo kangu.
17 Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
Mukuti muchokuti, 'Ni fumite, Nina bungi bwa masila amushobo shobo, imi kakwina zinisuna.' Kono kawizi kuti muziyelehete, mufwisa inse, mubahumanehi, muzihofu imi mwina mapunu.
18 Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
Tekeleze kukelezo yangu: Muwule kwangu Igauda ijolwezwe ni mulilo kokuti mube mubafumi, imi chizabalo chituba hahulu kutendela kuti mulubwike imi ketimutondeze kuswabisa kwamapunu enu, imi ulichuke musamu mumenso kuti ubone.
19 Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
Ni bakanya zumwi ni zumwi unisuna, imi ni ruta umo mubaswanela kuhalila. Chobulyo, mube basepahala ni kubaka.
20 Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
Mubone, Nizimene hamulyango imi nikwete kungongota. Haiba zumwi nazuwa inzwi lyangu imi neyalula mulyango, munize kwizubo yakwe imi munize nilye naye, imi naye mwalye name.
21 Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
Uzo yokonka, munimuhe maata akwikala name hachipulo chabusimwine, sina name hanibawoli kukoma imi nikele ni ba Tayo hachipula chabo.
22 Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”
Musiye abo bene matwi bazuwe ziluwamba Luhuho kwi Keleke.

< Ufunuo 3 >