< Zaburi 97 >

1 Yahwe anatawala; nchi ishangilie; visiwa vingi na vifurahi.
Tas Kungs ir ķēniņš, - lai priecājās zeme, un salas lai līksmojās lielā pulkā.
2 Mawingu na giza vyamzunguka. Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.
Padebesis un krēslība ir ap Viņu, taisnība un tiesa ir Viņa godības krēsla stiprums.
3 Moto huenda mbele zake nao huwateketeza adui zake pande zote.
Uguns iet Viņa priekšā un iededzina visapkārt Viņa pretiniekus.
4 Taa yake huangaza ulimwengu; nchi huona na kutetemeka.
Viņa zibeņi apgaismo pasauli; zemes virsas to redz un dreb.
5 Milima huyeyuka kama nta mbele za Yahwe, Bwana wa dunia yote.
Kalni izkūst kā vaski Tā Kunga priekšā, tā visas pasaules Kunga priekšā.
6 Mbingu hutangaza haki yake, na mataifa yote huuona utukufu wake.
Debesis izstāsta Viņa taisnību, un visi ļaudis redz Viņa godu.
7 Wale wote waabuduo sanamu za kuchonga wataaibishwa, wale wanao jivuna katika sanamu zisizo na maana mpigieni yeye magoti, enyi miungu wote!
Kaunā top visi, kas bildēm kalpo un lielās ar elkiem; pielūdziet Viņu, visi dievi.
8 Sayuni ilisikia na kufurahi, na miji ya Yuda ilishangilia kwa sababu ya amri zako za haki, Yahwe.
Ciāna klausās un priecājās, Jūda meitas līksmojās, Kungs, kad Tu tiesā.
9 Kwa kuwa wewe, Yahwe, ndiye uliye juu sana, juu ya nchi yote. Umetukuka sana juu ya miungu yote.
Jo Tu, Kungs, esi tas Visuaugstākais pār visu pasauli, ļoti paaugstināts pār visiem dieviem.
10 Ninyi ambao mnampenda Yahwe, chukieni uovu! Yeye hulinda uhai wa watakatifu wake, naye huwatoa mikononi mwa waovu.
Ienīstiet ļaunu, jūs, kas To Kungu mīļojiet; Viņš pasargā Savu svēto dvēseles, no bezdievīgo rokas Viņš tos izglābs.
11 Nuru imepandwa kwa ajili ya wenye haki na furaha kwa ajili ya wanyoofu wa moyo.
Taisnam aust gaišums, un prieks sirdsskaidriem.
12 Furahini katika Yahwe, enyi wenye haki; na mpeni shukurani mkumbukapo utakatifu wake.
Priecājaties iekš Tā Kunga, jūs taisnie, un teiciet Viņa svēto vārdu.

< Zaburi 97 >