< Zaburi 91 >

1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Celui qui habite dans la [demeure] secrète du Très-haut logera à l’ombre du Tout-puissant.
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
J’ai dit de l’Éternel: Il est ma confiance et mon lieu fort; il est mon Dieu, je me confierai en lui.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Car il te délivrera du piège de l’oiseleur, de la peste calamiteuse.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Il te couvrira de ses plumes, et sous ses ailes tu auras un refuge; sa vérité sera ton bouclier et ta rondache.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Tu n’auras pas peur des frayeurs de la nuit, ni de la flèche qui vole de jour,
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Ni de la peste qui marche dans les ténèbres, ni de la destruction qui dévaste en plein midi.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Il en tombera mille à ton côté, et dix mille à ta droite; – toi, tu ne seras pas atteint.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Seulement tu contempleras de tes yeux, et tu verras la récompense des méchants.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Parce que toi tu as mis l’Éternel, mon refuge, le Très-haut, pour ta demeure,
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Aucun mal ne t’arrivera, et aucune plaie n’approchera de ta tente;
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Car il commandera à ses anges à ton sujet, de te garder en toutes tes voies:
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
Ils te porteront sur leurs mains, de peur que tu ne heurtes ton pied contre une pierre.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Tu marcheras sur le lion et sur l’aspic, tu fouleras le lionceau et le dragon.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
Parce qu’il a mis son affection sur moi, je le délivrerai; je le mettrai en une haute retraite, parce qu’il a connu mon nom.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Il m’invoquera, et je lui répondrai; dans la détresse je serai avec lui; je le délivrerai et le glorifierai.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Je le rassasierai de longs jours, et je lui ferai voir mon salut.

< Zaburi 91 >