< Zaburi 91 >

1 Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
Khohni kah a huephael ah kho aka sa tah Tlungthang hlip ah rhaehrhong van ni.
2 Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
BOEIPA te, “Ka hlipyingnah neh ka rhalvong,” ka ti eh. Ka Pathen amah dongah ka pangtung eh.
3 Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
Sayuep kah pael neh talnah duektahaw khui lamkah nang te amah loh n'huul ni.
4 Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
A phaemul neh nang n'dah vaengah a phae hmuikah oltak photlinglen neh caempho khuiah na ying ni.
5 Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
Khoyin kah birhihnah khaw, khothaih kah aka thui thaltang te khaw,
6 wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
Khohmuep ah aka pongpa duektahaw khaw, khothun ah aka rhoelrhak sak lucik khaw rhih boeh.
7 Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Na kaep ah thawngkhat, na bantang ah thawngrha cungku mai cakhaw nang taengla ha thoeih mahpawh.
8 Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
Na mik neh dawk na paelki vaengah halang rhoek kah a phainah te na hmu ni.
9 Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Namah loh, “BOEIPA tah ka hlipyingnah koinih,” na ti tih Khohni te na khuirhung la na khueh coeng.
10 Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
Yoethae te nang taengla cuhu pawt vetih tlohtat loh na dap taengla ha moe mahpawh.
11 Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Na longpuei boeih ah nang aka dawn ham a puencawn rhoek te a uen ni.
12 Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
A kut neh nang n'dom uh bitni, lungto dongah na kho na khuek ve.
13 Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
Sathuengca neh minta soah na cangdoek vetih, sathuengca neh tuihnam khaw na taelh ni.
14 Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
Kai taengah a ven uh dongah, anih te ka hlawt van ni. Ka ming a ming dongah, anih te ka hoeptlang ni.
15 Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Kai n'khue vaengah anih te a taengah ka doo ni. Kai loh citcai khuiah khaw anih te ka pumcum sak vetih, amah ka thangpom ni.
16 Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.
Anih khohnin sen neh ka kodam sak vetih, kamah kah khangnah te ka hmuh sak ni.

< Zaburi 91 >