< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Of the Korahites, a psalm. A song. On the holy mountain stands the city he founded.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
The Lord loves the gates of Zion more than all the dwellings of Jacob.
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Glorious things he is speaking of you, you city of God. (Selah)
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
“Among those who are mine I name Rahab and Babylon, Philistia, Tyre, Ethiopia, their people will say I was born in Zion.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
As for Zion it will be said each and all were born in her.” The Lord will preserve her.
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
The Lord will count, when enrolling the peoples, “This one was born there, and that one was born there.” (Selah)
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
Singers and dancers alike will say “All my springs are in you.”

< Zaburi 87 >