< Zaburi 85 >

1 Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
Ein Psalm der Kinder Korah, vorzusingen. HERR, der du bist vormals gnädig gewesen deinem Lande und hast die Gefangenen Jakobs erlöset;
2 Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
der du die Missetat vormals vergeben hast deinem Volk und alle ihre Sünde bedecket, (Sela)
3 Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
der du vormals hast all deinen Zorn aufgehoben und dich gewendet von dem Grimm deines Zorns;
4 Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
tröste uns, Gott, unser Heiland, und laß ab von deiner Ungnade über uns!
5 Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
Willst du denn ewiglich über uns zürnen und deinen Zorn gehen lassen immer für und für?
6 Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
Willst du uns denn nicht wieder erquicken, daß sich dein Volk über dir freuen möge?
7 Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
HERR, erzeige uns deine Gnade und hilf uns!
8 Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
Ach, daß ich hören sollte, das Gott der HERR redet, daß er Frieden zusagte seinem Volk und seinen Heiligen, auf daß sie nicht auf eine Torheit geraten!
9 Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
Doch ist ja seine Hilfe nahe denen, die ihn fürchten, daß in unserm Lande Ehre wohne;
10 Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
daß Güte und Treue einander begegnen, Gerechtigkeit und Friede sich küssen;
11 Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
daß Treue auf der Erde wachse, und Gerechtigkeit vom Himmel schaue;
12 Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
daß uns auch der HERR Gutes tue, damit unser Land sein Gewächs gebe;
13 Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Zaburi 85 >