< Zaburi 84 >

1 Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
För sångmästaren, till Gittít; av Koras söner; en psalm. Huru ljuvliga äro icke dina boningar, HERRE Sebaot!
2 Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
Min själ längtar och trängtar efter HERRENS gårdar, min själ och min kropp jubla mot levande Gud.
3 Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
Ty sparven har funnit ett hus och svalan ett bo åt sig, där hon kan lägga sina ungar: dina altaren, HERRE Sebaot, min konung och min Gud.
4 Wamebarikiwa wale ambao huishi katika nyumba yako; nao hukusifu wewe siku zote. (Selah)
Saliga äro de som bo i ditt hus; de lova dig beständigt. (Sela)
5 Amebarikiwa mtu yule ambaye nguvu zake ziko katika wewe, katika moyo wake mna njia kuu ziendazo mpaka Sayuni.
Saliga äro de människor som i dig hava sin starkhet, de vilkas håg står till dina vägar.
6 Wanapopita katika bonde la machozi, hupata chemchem ya maji kwa ajili ya kunywa. Mvua ya vuli hulivika baraka.
När de vandra genom Tåredalen, göra de den rik på källor, och höstregnet höljer den med välsignelser.
7 Huendelea toka nguvu hadi nguvu; kila mmoja wao katika sayuni huonekana mbele ya Mungu.
De gå från kraft till kraft; så träda de fram inför Gud på Sion.
8 Yahwe Mungu wa majeshi, sikia maombi yangu; Mungu wa Yakobo, usikilize nisemacho! (Selah)
HERRE Gud Sebaot, hör min bön, lyssna, du Jakobs Gud. (Sela)
9 Ee Mungu, uiangalie ngao yetu; uwaangalie wapakwa mafuta wako.
Gud, vår sköld, ser härtill, och akta på din smordes ansikte.
10 Kwa maana siku moja katika nyumba yako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine. Ni bora niwe mlinzi wa mlango katika nyumba ya Mungu wangu, kuliko kuishi katika mahema ya waovu.
Ty en dag i dina gårdar är bättre än eljest tusen. Jag vill hellre vakta dörren i min Guds hus än dväljas i de ogudaktigas hyddor.
11 Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao yetu; Yahwe atatoa neema na utukufu; hazuii zuri lolote kwa wale ambao hutembea katika uadilifu.
Ty HERREN Gud är sol och sköld; HERREN giver nåd och ära; han vägrar icke dem något gott, som vandra i ostrafflighet.
12 Yahwe wa majeshi, amebarikiwa mtu yule anaye kutumainia wewe.
HERRE Sebaot, salig är den människa som förtröstar på dig.

< Zaburi 84 >