< Zaburi 81 >

1 Mwimbieni Mungu aliye nguvu yetu kwa sauti; pigeni kelele za furaha kwa Mungu wa Yakobo.
Načelniku godbe pri Gitaji, pesem Asafu. Pojte Bogu, móči naši, vpijte Bogu Jakobovemu.
2 Imbeni wimbo na pigeni matari, kinubi chenye sauti nzuri pamoja na kinanda.
Primite psalmovanje in vzemite boben, strune prijetne in brenklje.
3 Pigeni panda mwandamo wa mwezi, katika siku ya mbalamwezi, mwanzoni mwa sikukuu.
Trobite o mlaji, o vseh stalnih praznikih, o godovih naših.
4 Kwa kuwa ni agizo kwa Israeli, amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo.
Ker ustanovljeno je v Izraelu, postava od Boga Jakobovega,
5 Aliitoa kama maelekezo kwa Yusufu alipoenda katika nchi ya Misri, ambako nilisikia sauti ambayo sikuweza kuitambua:
Kateri jo je za pričanje postavil v Jožefu, ko je šel proti deželi Egiptovski, kjer sem slišal govor neznan;
6 “Niliutua mzigo kutoka mabegani mwake; mikono yake ilipumzishwa kubeba kikapu.
"Odtegnil sem", pravi, od bremena ramo njegovo; roke njegove ločile so se od čebriča.
7 Katika dhiki yako uliniita, nami nikakusaidia; nilikujibu kutoka katika wingu jeusi la radi. Nilikujaribu kwenye maji ya Meriba. (Selah)
Ko si vpil v oni stiski, rešil sem te, uslišal sem te v gromovem zakotji; izkušal sem te do vodâ Meribskih.
8 Sikilizeni, watu wangu, nami nitawaonya, Israeli, kama tu ugalinisikiliza!
Poslušaj, ljudstvo moje, in spričeval ti bodem, o Izrael, ako me bodeš poslušal.
9 Lazima kati yenu kusiwepo na mungu wa kigeni; haupaswi kumwabudu mungu wa kigeni.
Ako ne bode v tebi boga mogočnega tujega, in se ne bodeš klanjal bogu mogočnemu tujerodnemu.
10 Mimi ni Yahwe niliyekutoa katika nchi ya Misri, fungua sana kinywa chako, nami nitakijaza.
Jaz sem Gospod, Bog tvoj, ki sem dal, da si prišel gor iz dežele Egiptovske; razširi usta svoja in napolnim jih.
11 Lakini watu wangu hawakusikiliza maneno yangu; Israeli hawakunitii.
Ali ljudstvo moje ni poslušalo glasu mojega, in Izrael mi ni bil pokoren.
12 Nikawaacha waende katika katika njia yao wenyewe ya ukaidi ili kwamba waweze kufanya kinachoonekana sahihi kwao.
Zatorej sem jih izpustil, da naj hodijo po srca svojega volji, govoreč: Gredó naj sè svojimi krivimi naklepi.
13 Oh, laiti watu wangu wangenisikiliza mimi; oh, watu wangu wangelitembea katika njia yangu.
O ko bi me bilo poslušalo ljudstvo moje, ko bi bili Izraelci hodili po mojih potih!
14 Kisha ningewatiisha adui zao haraka na kugeuzia mkono wangu dhidi ya watesi wao.
Kar mahoma bi bil potlačil njih neprijatelje, ko bi bil v njih sovražnike obrnil roko svojo.
15 Wale wanaomchukia Yahwe katika hofu na waanguke chini mbele zake! Wawe wanyonge milele.
Sovražniki Gospodovi bi se bili lažnjivo vdali njemu, in njih čas bi bil vekomaj.
16 Ningewalisha Israeli kwa ngano bora; Ningewatosheleza kwa asali itokayo mwambani.”
Dà, živil bi ga bil z maščobo pšenično, tudi z medom iz skale bi te bil sitil.

< Zaburi 81 >