< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Para el maestro de coro. Por el tono de (como) azucenas (las palabras) de la Ley, Salmo de Asaf. Pastor de Israel, escucha: Tú, que como un rebaño guías a José; Tú, que te sientas sobre querubines,
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
muéstrate a los ojos de Efraím, de Benjamín y de Manasés. Despierta tu potencia, y ven a salvarnos.
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
¡Oh Dios de los ejércitos, restáuranos! Haz resplandecer tu Rostro, y seremos salvos.
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
¡Oh Yahvé, Dios de los ejércitos!, ¿hasta cuándo seguirás airado contra la oración de tu pueblo?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Lo has alimentado con pan de llanto; le has dado a beber lágrimas en abundancia.
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Nos has hecho objeto de contienda entre nuestros vecinos; y nuestros enemigos se burlan de nosotros.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
¡Oh Dios de los ejércitos, restáuranos! Haz resplandecer tu Rostro, y seremos salvos.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
De Egipto trasladaste tu viña, arrojaste a los gentiles, y la plantaste;
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
preparaste el suelo para ella, y echó raíces y llenó la tierra.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Los montes se cubrieron con su sombra, y con sus ramas los cedros altísimos.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Hasta el mar extendió sus sarmientos y hasta el gran río sus vástagos.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
¿Cómo es que derribaste sus vallados para que la vendimien cuantos pasan por el camino;
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
la devaste el jabalí salvaje y las bestias del campo la devoren?
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Retorna, oh Dios de los ejércitos, inclínate desde el cielo, y mira, y visita esta viña,
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
la cepa que tu diestra plantó, y el retoño que para ti conformaste.
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
Perezcan ante la amenaza de tu Rostro quienes la quemaron y la cortaron.
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Pósese tu mano sobre el Varón que está a tu diestra; sobre el Hijo del hombre que para Ti fortaleciste.
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
Entonces no volveremos a apartarnos de Ti; Tú nos vivificarás, y nosotros proclamaremos tu Nombre.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.
¡Oh Dios de los ejércitos, restáuranos! Haz resplandecer tu Rostro, y seremos salvos.

< Zaburi 80 >