< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Ein Psalm Assaphs von den Spanrosen, vorzusingen. Du Hirte Israels, höre, der du Joseph hütest wie der Schafe; erscheine, der du sitzest über Cherubim!
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
Erwecke deine Gewalt, der du vor Ephraim, Benjamin und Manasse bist, und komm uns zu Hilfe!
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
Gott, tröste uns und laß leuchten dein Antlitz, so genesen wir.
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
HERR, Gott Zebaoth, wie lange willst du zürnen über dem Gebet deines Volks?
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Du speisest sie mit Tränenbrot und tränkest sie mit großem Maß voll Tränen.
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Du setzest uns unsern Nachbarn zum Zank, und unsere Feinde spotten unser.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
Gott Zebaoth, tröste uns! Laß leuchten dein Antlitz, so genesen wir.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Du hast einen Weinstock aus Ägypten geholet und hast vertrieben die Heiden und denselben gepflanzet.
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
Du hast vor ihm die Bahn gemacht und hast ihn lassen einwurzeln, daß er das Land erfüllet hat.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Berge sind mit seinem Schatten bedeckt und mit seinen Reben die Zedern Gottes.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Du hast sein Gewächs ausgebreitet bis ans Meer und seine Zweige bis ans Wasser.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
Warum hast du denn seinen Zaun zerbrochen, daß ihn zerreißet alles, das vorübergehet?
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
Es haben ihn zerwühlet die wilden Säue, und die wilden Tiere haben ihn verderbet.
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Gott Zebaoth, wende dich doch, schaue vom Himmel und siehe an und suche heim diesen Weinstock
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
und halt ihn im Bau, den deine Rechte gepflanzet hat, und den du dir festiglich erwählet hast.
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
Siehe drein und schilt, daß des Brennens und Reißens ein Ende werde!
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Deine Hand schütze das Volk deiner Rechten und die Leute, die du dir festiglich erwählet hast,
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
so wollen wir nicht von dir weichen. Laß uns leben, so wollen wir deinen Namen anrufen.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.

< Zaburi 80 >