< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
Dem Sangmeister auf der Githith. Ein Psalm Davids. Jehovah, unser Herr, wie herrlich ist Dein Name auf der ganzen Erde, Der Du Deine Majestät hast gegeben über die Himmel.
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
Aus dem Munde der Kindlein und der Säuglinge hast Du Dir Stärke gegründet, um Deiner Dränger willen, daß der Feind und der Rachgierige zu Ende komme!
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
Wenn Deine Himmel ich sehe, Deiner Finger Werk, Mond und Gestirne, die Du bereitet hast:
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
Was ist der Mensch, daß seiner Du gedenkst? Und des Menschen Sohn, daß Du ihn heimsuchst?
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
Ein wenig lässest Du ihm zu einem Engel mangeln und krönest ihn mit Herrlichkeit und Ehre.
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
Du machst ihn zum Herrscher über Deiner Hände Werk, alles hast Du unter seine Füße gelegt.
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
Kleinvieh und Rinder, alle von ihnen, und auch das Vieh des Feldes.
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
Den Vogel der Himmel und des Meeres Fische, was der Meere Pfade durchzieht.
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
Jehovah, unser Herr, wie herrlich ist Dein Name auf der ganzen Erde.

< Zaburi 8 >