< Zaburi 79 >

1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
Psalm Asafa. Boże, poganie wtargnęli do twego dziedzictwa, splugawili twoją świętą świątynię, Jeruzalem zamienili w ruiny.
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Zwłoki twoich sług dali na żer ptactwu niebieskiemu, ciała twoich świętych bestiom ziemskim.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Rozlali ich krew jak wodę wokół Jeruzalem i nie było nikogo, kto by ich pogrzebał.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Staliśmy się hańbą dla naszych sąsiadów, pośmiewiskiem i drwiną dla tych, którzy są wokoło nas.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
Jak długo, PANIE? Czy wiecznie będziesz się gniewać? Czy twoja zapalczywość będzie płonąć jak ogień?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Wylej twój gniew na pogan, którzy cię nie znają, i na królestwa, które nie wzywają twego imienia.
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
Pożarli bowiem Jakuba i spustoszyli jego mieszkanie.
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Nie pamiętaj nam dawnych nieprawości naszych, niech nas prędko spotka twoje miłosierdzie, bo jesteśmy bardzo wynędzniali.
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Wspomóż nas, Boże naszego zbawienia, dla chwały imienia twego; ocal nas i przebacz nam grzechy ze względu na twoje imię.
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Dlaczego poganie mają mówić: Gdzież jest ich Bóg? Niech będzie znany wśród pogan na naszych oczach przez dokonanie zemsty za przelaną krew twoich sług.
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
Niech dotrze do ciebie jęk więźniów, według potęgi twego ramienia zachowaj skazanych na śmierć.
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
I odpłać naszym sąsiadom siedmiokrotnie w ich zanadrze za zniewagę, którą ci wyrządzili, Panie!
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
My zaś, twój lud i owce twego pastwiska, będziemy cię wielbić na wieki, będziemy głosić twoją chwałę z pokolenia na pokolenie.

< Zaburi 79 >