< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
Gracias te damos, oh ʼElohim, te damos gracias, Porque tu Nombre está cerca. Los hombres declaran tus maravillosas obras.
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
Cuando Yo selecciono un tiempo determinado, Soy Yo Quien juzga con equidad.
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
Cuando se disuelva la tierra y todos los que viven en ella, Yo mismo sostendré sus columnas. (Selah)
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
Dije a los jactanciosos: No se jacten. Y a los perversos: No alcen su cuerno,
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
Ni levanten su cuerno en alto, Ni hablen con orgullo insolente.
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
Porque ni del oriente ni del occidente, Ni del desierto viene la exaltación,
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
Sino ʼElohim es el Juez. A éste humilla y a aquél enaltece.
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
Hay una copa en la mano de Yavé, Y el vino fermenta. Está bien mezclado y lo derramará. Y tendrá que ser sorbido hasta sus sedimentos. ¡Ciertamente todos los perversos de la tierra lo beberán!
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
Pero yo lo declararé para siempre. Cantaré salmos al ʼElohim de Jacob.
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
Él quebrará el cuerno de los perversos, Pero el cuerno de los justos será exaltado.

< Zaburi 75 >