< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
A ti, ó Deus, glorificamos, a ti damos louvor, pois o teu nome está perto, as tuas maravilhas o declaram.
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
Quando eu ocupar o lugar determinado, julgarei retamente.
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
A terra e todos os seus moradores estão dissolvidos, mas eu fortaleci as suas colunas (Selah)
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
Disse eu aos loucos: Não enlouqueçais; e aos ímpios: Não levanteis a fronte:
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
Não levanteis a vossa fronte altiva, nem faleis com cerviz dura;
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
Porque nem do oriente, nem do ocidente, nem do deserto vem a exaltação.
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
Mas Deus é o Juiz; a um abate, e a outro exalta.
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
Porque na mão do Senhor há um cálice, cujo vinho é roxo; está cheio de mistura; e dá a beber dele; mas as fezes dele todos os ímpios da terra as sorverão e beberão.
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
E eu o declararei para sempre; cantarei louvores ao Deus de Jacob.
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
E quebrarei todas as forças dos ímpios, mas as forças dos justos serão exaltadas.

< Zaburi 75 >