< Zaburi 72 >

1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
所罗门的诗。 神啊,求你将判断的权柄赐给王, 将公义赐给王的儿子。
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
他要按公义审判你的民, 按公平审判你的困苦人。
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
大山小山都要因公义使民得享平安。
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
他必为民中的困苦人伸冤, 拯救穷乏之辈, 压碎那欺压人的。
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
太阳还存,月亮还在, 人要敬畏你,直到万代!
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
他必降临,像雨降在已割的草地上, 如甘霖滋润田地。
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
在他的日子,义人要发旺, 大有平安,好像月亮长存。
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
他要执掌权柄,从这海直到那海, 从大河直到地极。
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
住在旷野的,必在他面前下拜; 他的仇敌必要舔土。
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
他施和海岛的王要进贡; 示巴和西巴的王要献礼物。
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
诸王都要叩拜他; 万国都要事奉他。
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
因为,穷乏人呼求的时候,他要搭救; 没有人帮助的困苦人,他也要搭救。
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
他要怜恤贫寒和穷乏的人, 拯救穷苦人的性命。
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
他要救赎他们脱离欺压和强暴; 他们的血在他眼中看为宝贵。
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
他们要存活。 示巴的金子要奉给他; 人要常常为他祷告,终日称颂他。
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
在地的山顶上,五谷必然茂盛; 所结的谷实要响动,如黎巴嫩的树林; 城里的人要发旺,如地上的草。
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
他的名要存到永远, 要留传如日之久。 人要因他蒙福; 万国要称他有福。
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
独行奇事的耶和华—以色列的 神 是应当称颂的!
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
他荣耀的名也当称颂,直到永远。 愿他的荣耀充满全地! 阿们!阿们!
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
耶西的儿子—大卫的祈祷完毕。

< Zaburi 72 >